soma

  1. M

    Huwa unajiuliza ujaze mafuta ya petrol ya aina gani na kituo gani ? Soma uzi huu uyajue mafuta sahihi kwa gari yako

    Tunapofanya maamuzi ya kujaza mafuta kwa magari yetu ya petrol, mara nyingi tunakuwa confused; tunajiuliza “nipi mafuta bora kwa gari langu?” kna vituo vina petrol 91%, wengine 93% engine 95% Nitatoa mifano ya makampuni mawili makubwa: TOTAL – Hawa wana mafuta ya petrol yenye 95% octane...
  2. M

    Unajua somo hili katika mafanikio?

    Kwenye mitandao ya kijamii kumejavaa mafunzo mengi kuhusu mafanikio katika maisha au biashara yeyote na mafunzo hayo ni mazuri na nimoja ya njia ya mafanikio Je umewahi kusikia haya ? Ukiwa katika safari ya mafanikio katika biashara yako hakikisha umetimiza mambo haya kwanza 1) kuwa na...
  3. Wakusolve

    Soma hapa kujua Special gift au spirtual gift nini, na zinatumikaje kwa choosen one(wateuliwa wa bwana) katika kutimiza wito wao

    Special gift nini, ni uwezo au vipawa anavyopewa mtu(choosen one) na Mungu kwa ajili ya kumsaidia kutimiza kusudi(calling) au wito duniani. Choosen one ni nani, ni mtu aliyechaguliwa na Mungu katika familia au ukoo kuvunja baadhi ya tabia au maagano(generation trauma) yaliyo kinyume na Mungu na...
  4. kabweza

    Kabla Hujafunga Biashara Yako, Soma Hii Kwanza.

    Wakuu wa jukwaa, Leo nataka niongee kitu ambacho naamini kinaweza kubadilisha namna tunavyoendesha biashara zetu za kila siku hasa sisi wafanyabiashara wadogo na wa kati. Ukweli ni huu Biashara nyingi Tanzania zinaendeshwa kwa mazoea. Tunatumia daftari, kumbukumbu za kichwani, au wakati...
  5. Stuxnet

    Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    Katika Hesabu 34:1-15, Mungu anampa Musa maelekezo mahususi kuhusu mipaka ya Nchi ya Ahadi (Kanaani) ambayo Waisraeli walipaswa kuimiliki. Mipaka hiyo imegawanywa katika pande nne kuu: Kusini: Huanzia Bahari ya Chumvi, kupita jangwa la Zini hadi kijito cha Misri na kuishia Bahari ya Kati...
  6. Wakusolve

    Je unajua binadamu ana level ya ufahamu au dimension kuusu Mungu, upo level gani ? soma hapa

    Dimension nini, ni uwezo au ufahamu wa binadamu kuusu Mungu.Binadamu tuna level fulani ya ufahamu kuusu Mungu.Ufahamu wa juu wa binadamu mara nyingi unatokea pale mtu anapopitia greater loss(Kupoteza au Changamoto ngumu za kimaisha) Dimension hizo ni -3D -4D -5D 3D(dimension) Hii ni level...
  7. Morning Joy Motors

    Unaijua 2013 Subaru Forester SJ5?

    2013 Subaru Forester SJ5 Ni gari ambayo imenunuliwa sana na inaendelea kununuliwa sana , ni gari yenye muonekano mzuri na wa kijanja haswaa!. Iwe ni kwa kuendea shambani au mizunguko ya mjini, inatamba tu! ni gari yenye sifa kede - kede kutoka kwa watu wengi, kama vile kumpa mtumiaji ground...
  8. Wakusolve

    Kama kijana upo chini ya miaka 30 soma hapa ili ufanikiwe kwenye maisha

    Ili kijana kujenga mafanikio yenye heshima na ambayo ayachoshi roho yako zingatia vitu hivi hapa. 1.uhusiano wa kiroho(spirtual relationship) Kijana hili ufanikiwe ni muhimu kujenga uhusiano wako na Mungu katika maisha yako. Uhusiano wako na Mungu unajengwa private na sio public, Tenga muda...
  9. Morning Joy Motors

    Je , wajua maana ya taa za viashiria hivi kwenye dashboard ya gari yako na rangi hizi zinavyomaanisha.? Soma hapa tumekuwekea ufafanuzi.

    Kikawaida kuna rangi tatu za taa kwenye dashboard ya gari yako. Rangi hizi standard : red, orange, na green. Zingatia kwamba green wakati mwingine huwa ni blue, inategemea na aina ya gari uliyonayo ila haibadilishi maana halisi ya ka,zi yake ni kama tu vile huwa magari mengine symbol ya...
  10. A

    KERO Mfumo wa SOMA wa DIT ni kero kwa wanafunzi

    Mimi ni mwanafunzi wa DIT, tunatumia mfumo unaitwa SOMA katika usajili na ufatiliaji wa matokeo. Kwa zaidi ya mwezi sasa mfumo umekuwa na changamoto, Huku baadhi ya wanafunzi wakiwa NOT PROMOTED baada ya kufuatilia ADMISSION OFFICE tulipewa Ticket Number ili kuhudumiwa na SOMA hata hivyo Ofisi...
  11. Pdidy

    Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

    Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake. Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini? Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe...
  12. N

    Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

    Mh. Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakukaribisha Arusha. Tunachokuomba saa ya kusikiliza kero za wananchi, watu wako ndio wapange utaratibu bila kuingiliwa na oote katika mkoa huu Ili haki itendeke uambiwe ukweli. Mweshimiwa tunakusisitiza wasaidizi wako ndio wapange utaratibu...
  13. youngkato

    Soma kwa Bidii, Maliza shule maisha yakuchanganye: Ukweli Ambao Wengi Hawakuusema Wazi

    Shule inakupa maelezo. Maisha yanakupa ufahamu. Ukichagua kimoja tu, utaishia kuchanganyikiwa. Kwa Nini Hili Ni Muhimu Wengi wetu tulifundishwa kufanya jambo moja tu: kuwa mtoto mwema kufuata sheria kupata alama nzuri kubaki salama kusubiri “baadaye” Halafu “baadaye” ilipofika, ilionekana...
  14. R

    Ushahidi wa kupanga, wa kubumba. Soma hii chini

    Kutoka X by MD 1. Mashahidi wote waliperuzi simu zao Tarehe 04 April 2. Mashahidi wote walishawishika siku hiyo hiyo. 3. Mashahidi wote walikamatwa ila hawakufunguliwa kesi 4. Mashahidi wote nini kingine tena.....Ongeza
  15. A

    Soma Hii Kama Unataka Kuanzisha Biashara Ya Kukutengezea Pesa Ndani Ya Mwaka 2026

    Rafki Kwa Wewe Ambaye unataka Kuanzisha Biashara Yako Ndani ya Mwaka 2026 ili Uanze Kutengeneza Pesa ya Uwakika Kuna Kitu Cha Msingi sana ambacho Unatakiwa Kukifahamu Na, Kitu Hicho Ni Soko La Bidhaa au Huduma ambayo unaenda Kutoa au Kuuza Na je Soko Ni Nini? Kwa Mujibu wa Stefan Georgi...
  16. Mlalamikaji daily

    Kuhusu maridhiano soma hiki kisa kifupi cha mzee Filipo

    Hapo zamani za kale kwenye kijiji cha msituni kulikuwa na mzee mmoja aliyejulikana kama Mzee Filipo.. Alikuwa mrefu, mnene mweusi.. Alitisha sana! Kutokana na mwonekano wake alitawala kijiji kizima na hata uchaguzi ulipokuwa ukifanyika ilikuwa kama danganya toto Tu! Kwani siku chache kabla ya...
  17. JOHNGERVAS

    Hebu soma hiki kisa kidogo ujifunze jambo. Mnadhani huyu dada yuko sahihi?

    Nimeikuta huko mtandaoni mtu anaomba ushauri nimesoma nimeumizwa sana lakini imenifikirisha zaidi. Ni Me copy na kupaste nilitaka kuihariri nikaona naweza kupoteza maana hebu soma tu mwenyewe Jaman staki kuchamba naomba ushauri mimi nimechanganyikiwa na shida zangu hapa sielew kabisa...
  18. Fbn

    Tanzania ni shamba la bibi ndio maana taasisi na mabenki ya kila aina yamejazana kwa sababu ya riba soma hapa

    Nilikuwa naambiwa na jamaa mmoja ni raia wa nje kuwa riba ya mikopo kwa ina asilimia ndogo ukilinganisha hapa. --- 🏦 1) Riba ya Mabenki Kuu (Central Bank / Policy Rates) – Sera za Riba Hizi ni viwango ambavyo benki kuu za nchi zinatumia kudhibiti uchumi. 🇪🇺 Uropa (Eurozone) European...
  19. TODAYS

    SOMA HII: Huko Nje Vijana Wamechachamaa

    Wakati mwingine unasita kuingia jamii forum, ili usome watu wanavyokandikwa, sasa hawa ndiyo Generation Z aiseee 😂 😆!!
  20. Miguel255

    Changamoto ya maji imenikumbusha mbali. Soma ujifunze

    Sasahivi wanaotamba mjini ni wale wenye nyumba zenye visima. Yaani wakati watu wanahangaika na foleni ya madumu wao wanaoga kutwa mara mbili mpaka tatu, wanafua kila siku na wengine hadi maua wanamwagilizia. Hii hali imenikumbusha kipindi fulani nafanya kazi kwa wahindi upanga dar es salaam...
Back
Top Bottom