Tunapofanya maamuzi ya kujaza mafuta kwa magari yetu ya petrol, mara nyingi tunakuwa confused; tunajiuliza “nipi mafuta bora kwa gari langu?” kna vituo vina petrol 91%, wengine 93% engine 95%
Nitatoa mifano ya makampuni mawili makubwa:
TOTAL – Hawa wana mafuta ya petrol yenye 95% octane...
Kwenye mitandao ya kijamii kumejavaa mafunzo mengi kuhusu mafanikio katika maisha au biashara yeyote na mafunzo hayo ni mazuri na nimoja ya njia ya mafanikio
Je umewahi kusikia haya ?
Ukiwa katika safari ya mafanikio katika biashara yako hakikisha umetimiza mambo haya kwanza
1) kuwa na...
Special gift nini, ni uwezo au vipawa anavyopewa mtu(choosen one) na Mungu kwa ajili ya kumsaidia kutimiza kusudi(calling) au wito duniani.
Choosen one ni nani, ni mtu aliyechaguliwa na Mungu katika familia au ukoo kuvunja baadhi ya tabia au maagano(generation trauma) yaliyo kinyume na Mungu na...
Wakuu wa jukwaa,
Leo nataka niongee kitu ambacho naamini kinaweza kubadilisha namna tunavyoendesha biashara zetu za kila siku hasa sisi wafanyabiashara wadogo na wa kati.
Ukweli ni huu
Biashara nyingi Tanzania zinaendeshwa kwa mazoea. Tunatumia daftari, kumbukumbu za kichwani, au wakati...
Katika Hesabu 34:1-15, Mungu anampa Musa maelekezo mahususi kuhusu mipaka ya Nchi ya Ahadi (Kanaani) ambayo Waisraeli walipaswa kuimiliki. Mipaka hiyo imegawanywa katika pande nne kuu:
Kusini: Huanzia Bahari ya Chumvi, kupita jangwa la Zini hadi kijito cha Misri na kuishia Bahari ya Kati...
Dimension nini, ni uwezo au ufahamu wa binadamu kuusu Mungu.Binadamu tuna level fulani ya ufahamu kuusu Mungu.Ufahamu wa juu wa binadamu mara nyingi unatokea pale mtu anapopitia greater loss(Kupoteza au Changamoto ngumu za kimaisha)
Dimension hizo ni
-3D
-4D
-5D
3D(dimension)
Hii ni level...
2013 Subaru Forester SJ5 Ni gari ambayo imenunuliwa sana na inaendelea kununuliwa sana , ni gari yenye muonekano mzuri na wa kijanja haswaa!.
Iwe ni kwa kuendea shambani au mizunguko ya mjini, inatamba tu! ni gari yenye sifa kede - kede kutoka kwa watu wengi, kama vile kumpa mtumiaji ground...
Ili kijana kujenga mafanikio yenye heshima na ambayo ayachoshi roho yako zingatia vitu hivi hapa.
1.uhusiano wa kiroho(spirtual relationship)
Kijana hili ufanikiwe ni muhimu kujenga uhusiano wako na Mungu katika maisha yako.
Uhusiano wako na Mungu unajengwa private na sio public, Tenga muda...
Kikawaida kuna rangi tatu za taa kwenye dashboard ya gari yako. Rangi hizi standard : red, orange, na green. Zingatia kwamba green wakati mwingine huwa ni blue, inategemea na aina ya gari uliyonayo ila haibadilishi maana halisi ya ka,zi yake ni kama tu vile huwa magari mengine symbol ya...
Mimi ni mwanafunzi wa DIT, tunatumia mfumo unaitwa SOMA katika usajili na ufatiliaji wa matokeo.
Kwa zaidi ya mwezi sasa mfumo umekuwa na changamoto, Huku baadhi ya wanafunzi wakiwa NOT PROMOTED
baada ya kufuatilia ADMISSION OFFICE tulipewa Ticket Number ili kuhudumiwa na SOMA hata hivyo Ofisi...
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake.
Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini?
Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe...
Mh. Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakukaribisha Arusha.
Tunachokuomba saa ya kusikiliza kero za wananchi, watu wako ndio wapange utaratibu bila kuingiliwa na oote katika mkoa huu Ili haki itendeke uambiwe ukweli.
Mweshimiwa tunakusisitiza wasaidizi wako ndio wapange utaratibu...
Shule inakupa maelezo. Maisha yanakupa ufahamu. Ukichagua kimoja tu, utaishia kuchanganyikiwa.
Kwa Nini Hili Ni Muhimu
Wengi wetu tulifundishwa kufanya jambo moja tu:
kuwa mtoto mwema
kufuata sheria
kupata alama nzuri
kubaki salama
kusubiri “baadaye”
Halafu “baadaye” ilipofika, ilionekana...
Kutoka X by MD
1. Mashahidi wote waliperuzi simu zao Tarehe 04 April
2. Mashahidi wote walishawishika siku hiyo hiyo.
3. Mashahidi wote walikamatwa ila hawakufunguliwa kesi
4. Mashahidi wote nini kingine tena.....Ongeza
Rafki
Kwa Wewe Ambaye unataka Kuanzisha Biashara Yako Ndani ya Mwaka 2026 ili Uanze Kutengeneza Pesa ya Uwakika Kuna Kitu Cha Msingi sana ambacho Unatakiwa Kukifahamu
Na, Kitu Hicho Ni Soko La Bidhaa au Huduma ambayo unaenda Kutoa
au Kuuza Na je Soko Ni Nini?
Kwa Mujibu wa Stefan Georgi...
Hapo zamani za kale kwenye kijiji cha msituni kulikuwa na mzee mmoja aliyejulikana kama Mzee Filipo..
Alikuwa mrefu, mnene mweusi..
Alitisha sana!
Kutokana na mwonekano wake alitawala kijiji kizima na hata uchaguzi ulipokuwa ukifanyika ilikuwa kama danganya toto Tu! Kwani siku chache kabla ya...
Nimeikuta huko mtandaoni mtu anaomba ushauri nimesoma nimeumizwa sana lakini imenifikirisha zaidi.
Ni Me copy na kupaste nilitaka kuihariri nikaona naweza kupoteza maana hebu soma tu mwenyewe
Jaman staki kuchamba naomba ushauri mimi nimechanganyikiwa na shida zangu hapa sielew kabisa...
Nilikuwa naambiwa na jamaa mmoja ni raia wa nje kuwa riba ya mikopo kwa ina asilimia ndogo ukilinganisha hapa.
---
🏦 1) Riba ya Mabenki Kuu (Central Bank / Policy Rates) – Sera za Riba
Hizi ni viwango ambavyo benki kuu za nchi zinatumia kudhibiti uchumi.
🇪🇺 Uropa (Eurozone)
European...
Sasahivi wanaotamba mjini ni wale wenye nyumba zenye visima. Yaani wakati watu wanahangaika na foleni ya madumu wao wanaoga kutwa mara mbili mpaka tatu, wanafua kila siku na wengine hadi maua wanamwagilizia.
Hii hali imenikumbusha kipindi fulani nafanya kazi kwa wahindi upanga dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.