Nipigie kama unataka kununua hivi viwanja hapa MWANZA.
DETAILS:
MKOA : MWANZA
WILAYA : MISUNGWI
ENEO : USAGARA
KIWANJA NAMBA : 171 na 173
VIMEPIMWA : NDIO ANGALIA PICHA
BEI : NAMBA 171 NI MILLIONI 20
NAMBA 173 NI MILLIONI 20
BEI INAPUNGUA PIA
UKIJA NA MAZUNGUMZO...
Luka 12:2 TKU
Kila kitu kilichofichwa kitawekwa wazi, na kila kitu kilicho sirini kitajulikana.
Yn 8:32
tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
https://youtu.be/dLi_y9V7uDA?si=7SkTesk8pOeIV6LI
Mimi niko Zanzibar, huku hali ni mbaya kuliko hata bara, hakuna utaliii Zanzibar tokea vurugu zianze bara na sababu ni hii, hakuna wataliii wanaotokaga makwao kuja TZ kwa ajili ya kwenda Zanzibar, huwa wanakuja kwa ajili ya kwenda mbuga za Wanyama then Zanzibar huwa wanamalizia ku relax beach...
Tarehe 29
Si kila shujaa huvaa viatu vya kupiga hatua barabarani. Wengine wanapigana ndani ya mioyo yao, wakijitahidi kuamini kuwa nchi hii bado inaweza kubadilika. Kama wewe ni mmoja wao yule ambaye hatatoka tarehe 29 basi soma haya kwa moyo wote.
Tunaishi nchi ambayo ofisi zimekuwa masoko ya...
Kama umekuwa ukihangaika kwa muda mrefu kutafuta njia ya kupata ujauzito bila mafanikio, kuna tiba rahisi, salama na ya asili ambayo inaweza kukusaidia. Hii ni njia ambayo wamama wengi wameitumia na kufanikisha kupata mtoto.
Unachohitaji si vitu vingi. Ni viungo vya kawaida vinavyopatikana...
"....TULIKOTOKA NI KARIBU SANA KULIKO TUNAKOKWENDA......" Kwanini???
Samahani ndugu yangu: Umenichekesha sana karibu nipasuke mbavu. Kwanini unauliza majibu?
Hivi hujui kuwa katika "MoU" ya CCM na CHAUMMA ilikuwa na kipengele cha CCM kuwaachia majimbo CHAUBWABWA?
Viongozi wa cha CHAUBWABWA...
Watu uliofanya nao uzinzi, nafsi zao hubakia ndani yako kwa kazi maalum. Soma hii:
Ili kututesa.
Kuja katika ndoto, na kushiriki uzinzi na sisi.
Kutuzuia tusioe au kuolewa.
Kutuvurugia amani na upendo kwenye mahusiano mengine au ndoa.
Kujichua kupitia nafsi zao.
Kutufanya tuwe makahaba kwa...
According to the Affidavit sworn by ACP AMIN MAHAMBA, during the investigation, he received information from the intended prosecution witnesses that the Respondent's associates are planning to obstruct the proceedings of PINo. 202504102000008607 by causing bodily harm to them, to force them to...
We are going to lose the rights of mountaineers and the entire tourism industry in general.
We are the Mountain Workers Advocacy Union (MWAU) — a powerful collective voice for porters, guides, and cooks on Mt. Kilimanjaro.
We stand for dignity, justice, fair contracts, and safe working...
Huu ni ushauri kwa Wogombea wote. Kama unaona hupendwi na wananchi soma alama za nyakati na usilazimishe. Wengi wa wagombea hasa kwenye nafasi za Udiwani, Ubunge nakadhalika wanalazimisha wapendwe na wananchi ilihali wananchi hawataki.
someni alama za nyakati na wananchi ndiyo wenye sauti...
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT.
""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot""
1. VIEW STATUS HERSELF THEN JUST NOW 🙄📱Ina uwezo wa kuview status hata ukiwa offline muda wowote.
2. TUMA NYIMBO KWA...
Kitu Kitakachobadilisha Maisha yako Mazima Kipo Somewhere Kwenye Kitabu Kimoja au Course Moja—Kazi yako ni Kutafuta Hicho Kitabu au Course Soma Kisha Ingiza Kwenye Action Kile Ulichokisoma then Boom Voila!
Wakuu nimekuwa nikifanya utafiti wa kwenye masomo husika naona hakuna wataalam juu sababu ni kwamba walio juu hawataki wenzao kufika huko hasa ndugu zetu wa Mlimani.
Ushauri wangu soma vyuo hivi:
1.MA in Linguistics SAUT Mwanza (Evening/Weekend mode)- Ukiwa lake zone.
Ada M 5,56660 Total...
In Tanzania, the right to legal representation is enshrined in various laws and constitutional provisions, and the courts have emphasized its importance in ensuring a fair trial. Any denial of this right, especially if it prejudices the accused, can have serious legal consequences.
Denying an...
Kisa cha kweli Mwajili Tapel kuweni Makini sana.
Katika Ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa adimu kuna matapeli wengi wanaoliza watu tuwe makini, Hiki ni Kisa cha kweli kabisa kanisimulia rafiki yangu kiilimpata last week.
Iko hivi huyu jamaa alipigiwa simu na baba yake mdogo Kwamba kuna...
Nimeulizwa swali
Je kiwanja cha 27 kwa 15 kinaweza kujengwa nyumba ya vyumba vingap?
Kiwanja chenye urefu wa mita 27 na upana wa mita 15 kinaweza kubeba idadi tofauti ya vyumba kulingana na mpangilio wa ramani, aina ya ujenzi, na nafasi ya fensi.
1. Idadi ya Vyumba Unavyoweza Kupata
✅ Nyumba ya...
Landscape design ina umuhimu mkubwa sana kwenye nyumba, na hapa ni sababu kuu chache:
1. Urembo (Aesthetics): Inafanya mazingira ya nyumba yaonekane maridadi na ya kuvutia.
2. Thamani ya Mali: Nyumba yenye landscape nzuri huongeza thamani ya ardhi na kuvutia wanunuzi au wapangaji.
3. Faragha...
Namba za Simu za Kimataifa ni Nini?
Namba za kimataifa ni viambishi namba vinavyowekwa mwanzo wa namba ya simu unapopiga kutoka nchi moja kwenda nyingine. Mfano: Ukitaka kupiga kutoka Tanzania kwenda Marekani, unaanza na +1 (ambayo ni code ya Marekani), halafu unafuata na namba ya mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.