software

  1. T

    tHL Accounting Software Trainer

    tHL Accounting Live Class: FURSA kwa vijana wenye Degree za Account, Finance, Business Administration, Economics au Procurement. Kupitia tHL Accounting Live Class tutatoa mafunzo ya mfumo wa tHL Accounting online bure kuanzia tarehe 01 October 2021. Jinsi ya kujiunga na mafunzo ingia...
  2. mathsjery

    Umewahi develop software ama kufanya chochote na window subsystem linux/WSL kama mbadala wa VM na dual boot?

    Huwa siwezi kutumia linux completely kwenye mashine yangu haiwezekani, hivyo huwa nafanya dual boot Kwa Linux na window 10, baada ya kuona mapungufu kadhaa ya VM, ila kuna kipindi Microsoft walitoa WSL ambayo ina version kadhaa nadhani zimefika mbili mpaka sasa. Hii inasifika kwa kuwa na uwezo...
  3. Teleskopu

    Taarifa ni software ya maisha

    Tunapokea taarifa nyingi maishani mwetu: masomo shuleni stori kijiweni habari magazetini mahubiri ibadani nk. Hizo zote ndizo software zinazoendesha hardware - ambayo ni mimi na wewe. Tunachosikia, kitaamua tutakachotenda. Kama taarifa ni ya kweli; ni sahihi - tutatenda kwa namna...
  4. The Sheriff

    Apple watengeneza programu ya kuzuia udukuzi unaoweza kufanywa kwa vifaa vyake bila ya mtumiaji kubonyeza 'link'

    Apple imezindua programu ya dharura ili kukabiliana na hatari ya kiusalama kwa bidhaa zake kuzuia kile kinachoitwa "zero-click, ikiwa ni baada ya watafiti wa usalama kugundua kasoro ambayo inawaruhusu wadukuzi kuvifikia vifaa kupitia huduma ya iMessage hata bila watumiaji kubonyeza kiungo (link)...
  5. Y

    Tips ICT Officer (Software Developer & Sys Admin)

    Wakuu salam kwenu. Niko hapa naomba tips za wapi pa kugusia kwenye written exams za utumishi kada ya ICTO upande wa software developer na Sys Admin. Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi naona kama napapasa gizani. Msaada wenu wadau kitaa pamekaza kinoma.
  6. Lameckjr

    Nataka kujifunza software ya ERP (Enterprise Resources planning)

    Habari zenu wakuu, Mwenye anajua website ambayo nitaweza kujifunza na kuielewa hii software naomba anisaidie nataka sana niijue kiundani
  7. Keco Group ltd

    KWA WANAO FAHAMU SOFTWARE YA VIDEO EDIT & GRAPHICS KU INSTALL KWENYE UBUNTU

    Habari wanandugu wenzangu naomba kwa mtu anae fahamu software ya Video Editing na Graphics kwenye Ubuntu tuwasiliane nitamlipa.
  8. mathsjery

    As a software engineer, what can you tell them, if you can't solve a problem?

    You just say that you can’t solve the problem. If somebody asks me to find an element in an unordered list with less than O(n)O(n) complexity, I’ll just tell them “sorry, this problem cannot be solved - maybe we can change the problem so that the list is kept ordered?” Or sometimes the problem...
  9. KijanaHuru

    Habari njema kwa wanaohitaji application,website and desktop apps

    Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, Kwa upande wa Mobile Application iwe Android au iOS platform , Katika mifumo miwili hiyo hapo juu unaweza kujipatia App za mifumo App za kioffice App za majukwaa App za Biashara nk Pia katika maorodhesho hayo hapo juu inaweza kuwa ni Desktop App au Website...
  10. Cyrustj

    Revised Employment post for Software developers

    REVISED RE: SOFTWARE DEVELOPERS IN AFRICA Many greetings to you. We are currently looking for Software Developers in Africa. We welcome applications from all African countries. Consideration will be placed on a First-Come-First-Served basis. Kindly share the attached job descriptions to...
  11. Cyrustj

    Software developers in Africa

    Many greetings to everyone. We are currently looking for Software Developers in Africa. We welcome applications from all African countries. Consideration will be placed on a First-Come-First-Served basis. Kindly share the attached job descriptions to the qualified ones to send their...
  12. Analogia Malenga

    Ijue Pegasus, software inayotumika kuwadukua wanaharakati na wanahabari

    Pegasus ni jina linalomaanisha Farasi Mwenye mbawa. Ambalo ni namna ya kuonesha kuwa software hiyo inafanya kazi kama Farasi wa Matrojan(Trojan Horse) lakini yeye anaweza kupaa. Software ya Pegasus imegundulika 2018 na kampuni ya Israel ya NSO inauwezo wa kudukua hadi iOS 14.6. Kampuni...
  13. Binadamu Mtakatifu

    Msaada: Vigezo vya kusomea software engineering kwa tunaomaliza form4

    Habarini! Hapa naomba msaada nahitaji kusomea software engineering hapo DIT. Maswali yangu: 1.Je inaitaji kombi gani kwamimi sijasoma chemistry nina physical tu? 2.ufaulu kiasi gani? 3.Je ada yake ikoje kwa mwaka? 4.ninaweza anza na diploma moja kwa moja au mpk certificate. NAWAKILISHA.
  14. Mung Chris

    Nahitaji Customer Software

    Nahitaji Customer Software wapi naweza nikaipata. Msaada.
  15. juutech

    Junior Software developer Position

    Juutech Solutions is an uprising Tanzanian startup company that is aspiring to do great things. Currently, the company is looking for an ambitious junior developer to fill one post. Please see details below. Position: Junior Software Developer Qualifications: 1. Diploma or Bachelor degree in...
  16. SAFCo_Academy

    SOFTWARE Smart Accounting software for your business

    Kama unahitaji software hii basi check me on 0713388317/0757749641. Iko complete from Source documents to Final financial statements. Na imefuata sheria zote za kiuhasibu IFRS/IPSAS! Karibu sana, kwa maelezo zaidi nipigie hizo namba!
  17. Jorge WIP

    Script Writers wa Bongo Movie wanatumia Software gani?

    Nafahamu kuwa nje specific Hollywood wanakuwa wanatumia programmes maalum za kuandika scripts za movie au Tv shows programmes zenyewe ni kama Final Draft au Celtx ambazo zinauzwa unakuta. Sasa nataka kujua Tz creators wanatumiaga nini maana zile mostly zimekuwa zimesetiwa English hata zile...
  18. masimango

    Natafuta ushauri kuhusu software nzuri ambayo ntaweza kuitumia kweny ku run microfinance

    Habari za majukumu wana Jamiiforum Nina mpango wa kuanzisha microfinance co. Ndani ya mwaka huu na nilikuwa naomba ushauri juu ya software/accounting package nzuri ambayo naweza kuitumia kuendesha hiyo microfinance. Ni matumaini yangu wana jamvi mtanishika mkono kweny hili. Natanguliza...
  19. mediaman

    The best English - Swahili Translation Software

    Wakuu, naomba kujuzwa the best Swahili to English(and vice versa) Translation software. Google Translator haifanyi vizuri sana.
  20. R

    Ni software gani inaweza nisaidia kuandaa bid document kirahisi?

    Habar wana jamii forum hope mpo poa mm ni mwajiriwa kwenye kampuni X najihusisha na Tender na kwa sasa nimekuwa na shughuli nyingi mno lakin kamwe sijawah kuwaza kuacha mambo ya tenser japo kuna sehemu kuna shida kidogo na naamin humu wapo ambao pia wanafanya hii shughuli. Shida ipo hv...
Back
Top Bottom