"Mhe. Mwenyekiti, huwezi kuwa umeishi na mwanamke ndani, anakusingizia ujauzito unaolea miezi tisa. Una—anazaa mtoto, unamlea mtoto anafikisha miaka kumi, baadaye mnakombana kidogo anakwambia, 'Hata huyo mtoto mwenyewe sio wako!'
Ipo namna mwanaume yeyote ipo namna ambayo mwanaume anaweza...