simba

  1. DELETED ACCOUNT

    Simba hii kuna watu walikuwa wanawaita Panya Road!

    Binadamu tumeumbwa kusahau. Nikikumbuka majigambo ya baadhi ya timu mwanzoni mwa msimu huu, nabaki kusema acheni Mungu aitwe Mungu. Zilitungwa nyimbo za "Uto hii unaifungaje", wakaapa hata waje malaika watafungwa tu. Wakaiita Simba na wachezaji wake Panya Road, just imagine mnaitwa Panya...
  2. Allen Kilewella

    Yanga inategemea Simba kupata wachezaji Bora

    Sijajua tatizo lao huwa nini. Lakini Yanga inategemea Simba itafute wachezaji halafu yenyewe ianze kuwavizia. Wema wa Simba unaiimarisha timu ya Yanga!
  3. L

    Simba itaingia fainali ikiwa huko Afrika kusini

    Wala Sina mashaka na haya niliyoyaandika. Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao. Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi. Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale. Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa...
  4. DELETED ACCOUNT

    Fainali ya CAFCC hiiiiiyo inawasubiri Simba

    Baada ya mechi ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Al Masry, nilikumbushia kwamba Simba ina tatizo sugu la kuleta ugumu pale njia rahisi inapokuwa mbele yake. Simba ndiyo wakali wa hizi kazi, inafuzu kwenda nusu fainali vizuri tu Nilichokuwa nina uhakika nacho ni kuwa Simba ingeenda kusahihisha...
  5. chiembe

    Matamko ya viongozi wa chadema kwamba wakiongoza nchi watazifuta Simba na Yanga yana busara yoyote? Kosa la vilabu hivi kwa chadema ni lipi?

    Nimefuatilia matamko kadhaa ya viongozi wa chadema wakijipiza dhidi ya vilabu hivi pendwa. Kwa nini wamedhamiria kuvidhuru ? Kosa lao nini?
  6. mdukuzi

    Simba iteue Captain Multilingual, Zimbwe hawezi kuwasiliana kwa lugha nyingine zaidi ya Kiswahili

    Kwa vile Simba ina uhakika wa kushiriki michuank ya kimataifa kila mwaka,Captain Zimbwe hatoshi.Waamuzi wengi wanaongea Engliish,Arabic,French or Kiswahili Japo football ina lugha yake. Lakini bado matamshi yana nguvu. Ngoma apewe u captain anajua kiswahili,kifaransa,kingereza na kiarabu...
  7. mdukuzi

    Mechi ijayo na Stellebosch Simba iweke mabeki tisa na mshambuliaji mmoja

    Huu ni ushauri tu,ukitoa kipa na namba 9 wengine wote wawe mabeki au viungo wakabaji hii ndio njia rahisi ya kutinga fainali
  8. Meja Jenerali Isamuhyo

    Anaandika Shaffih Dauda kuhusu Mechi ya Simba ya leo

    ◽️Jean Charles Ahoua Aliuanza mchezo akiwa chini sana , licha ya kuwa ndiye mfungaji wa bao pekee hii leo sitashangaa kuona watu wakimsema ,alikuwa anakosa uharaka wa maamuzi na kujikuta unachelewesha movements Tutakumbuka aliumia na kuomba kutoka , lakini bado atazibeba lawama kwa mpira...
  9. BABA SANIAH

    Simba mfike kwanza fainali ndiyo mbishane na Yanga

    Nasema hivi Simba ili mbishane na yanga mfike fainali kwanza kombe Hilo la shirikisho,ambayo msemaji wenu ahmedi ally alikua analiita kombe la waliofeli.
  10. Komeo Lachuma

    Simba akijitahidi leo ni Draw. Sioni namna Simba akipata ushindi team mbovu

    Simba mbovu. Kipindi cha pili inapigika. Ama sivyo Simba wakapark Bus. Maana wanaonekana hoi kwa sasa
  11. M

    Tunakuomba Mwenyezi Mungu Ijalie Ushindi Mnono Simba Sports Club Vs Stellenbosch hapa Zanzibar

    Ewe Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu, ulisema niombeni na mm nitawapa, tunakuomba mwenyezi mungu, muumba mbingu na ardhi, sisi waja wako hatuna lolote isipokuwa ni kukuomba wewe tu, tujalie ushindi leo hapa visiwani Zanzibar mda mfupi tu tutakapocheza na Stellenbosch...
  12. Waufukweni

    FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025

    Mechi kali ya mkondo wa kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika inapigwa leo, ambapo Mnyama Simba SC anawakaribisha Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini, katika dimba la Amaan, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni. Kaa karibu kwa Live updates Asubuhi...
  13. Andrea mbise

    SIMBA KUCHEZEA ZANZIBAR

    Vipi jamani Simba kwenda KUCHEZEA ZANZIBAR inapendeza kweli?sibora tuu wangechezea hata uwanja wa Azam.au mnaonaje Wanasimbaaaaa.
  14. Just Pray

    Ally Kamwe, Shabiki Simba maarufu kama ‘Dokta Moo’ wapigwa faini ya shilingi milioni tano, Ahmed Ally aponea chupuchupu

    Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemkuta na hatia shabiki wa Simba Mohamed Khamis Mohamed maarufu kama ‘Dokta Moo’ aliyeshtakiwa na Sekretarieti ya TFF akituhumiwa kwa kosa la kuchochea umma kwa ujumla kinyume na Kanuni 73(4) ya Kanuni za Maadili ya TFF Toleo la...
  15. DELETED ACCOUNT

    Simba SC kuzindua viwanja viwili vikubwa nchini

    Hata ufanye nini, ukubwa haujifichi. Kuna timu ilipelekwa huko katikati ya mashamba ya alizeti eti kuzindua uwanja ambao kwanza hauna hata majukwaa na matokeo yake wageni rasmi waliloana tepetepe, kamvua tu kadogo kakasitisha mechi. Wakati huo huo, Simba imepewa heshima ya kuzindua viwanja...
  16. ngara23

    Wanachama wa Simba tunapumbazwa na viongozi

    Uongozi wa Simba unatuona mashabiki na Wanachama wa Simba mbumbumbu kama alivotuita Rage pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay aliwaita Wanachama wa Simba ni mbumbumbu Mwekezaji mkuu Mo mwenye 49% ameweka 20 billions ( hewa) miaka 10 haijawahi kuingiza kwenye account Muuza jersey J Rutty...
  17. S

    Nimeoneshwa na Mungu kuwa simba itaifunga stellenbosch magoli mawili yote ya kichwa siku ya tarehe 20 april 25

    Kila kinachofanyika kwa mwili wa macho na nyama huwa ni kama display ya kitu kilichofanyika. Naandika haya leo ijumaa kuu siku mbili kabla ya mechi Ushindani wa mechi ya Simba na stellenbosch utaamuliwa kwa magoli ya kichwa! Naiona simba ikifunga magoli mawili yote ya kichwa kutokana mipira...
  18. Tajiri Tanzanite

    Kisasi cha Simba kutolewa na Stellen Abidjan ya Ivory Coast mwaka 1993 kwenye fainali ya shirikisho

    Hapo vip!! Hii ndio muda wa Simba kulipa kisasi kwa mdogo mtu na wajina mtu Stellen bosch tarehe 20.04.2025. Hawa wakina stellen,wanataka kumzoea Simba vibaya hasa hasa kwenye hizi hatua nyeti. Tukumbuke kombe la shirikisho kipindi hicho ilikuwa na majina tofauti tofauti kwa kila msimu...
  19. mdukuzi

    Ali Kamwe itanie Simba uwezavyo ila usilete utani kwenye Brand za biashara za watu, utapotea

    Ukiona kampuni imesimama mpaka imejulikana kitaifa ujue owners wamepambana sana,jasho,machozi na damu. Hakuna mtu mnyonge anayeweza kumiliki kampuni yenye thamani ya mabilioni. Company owners wengi ni mafia, kukupoteza wewe kiumbe mdogo ni sekunde. Mtu amemtoa kafara mzazi wake, mtu ameroga...
  20. aka2030

    Tujikumbushe kashifa ya mkurugenzi wa JAYRUTTY watengeneza jezi wapya wa simba sc

Back
Top Bottom