Simba Sc inampumulia Yanga kisogoni kabisa

Simba Sc inampumulia Yanga kisogoni kabisa

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,128
Reaction score
138,160
Screenshot_20250512-144425.png


Viporo vyote vimeliwa bila utata wowote. Sasa Yanga inapumuliwa kisogoni. Yanga mnaisikia pumzi ya Simba Sc?
 
Waamuzi wetu wa mchongo Kepha Kayombo, Japhet Smart na Shomary Lawi wanastahili maua yao 💐🌹🌷. Maana kazi wameifanya kwa kweli! Na matokeo yameonekana.

Ila mwishi wa siku pamoja na kubebwa kote huko na hao waamuzi wa mchongo, Bodi ya ligi, na Wallace Karia! Yanga 💚💛 ndiyo Bingwa kwa mara ya nne mfululizo. 🥇🏆
 
Back
Top Bottom