simba

  1. Bueno

    Tarehe 20.04.2025 Simba akimfunga Stollenbosch goli 3-0 nipigwe ban Miaka 3

    Ndio wakuu, nimerudi tena na msimamo wangu ni ule ule Simba pamoja na kuingia Nusu fainali kwa ndondogela kuchechemea kwingi ila hatoboi hio gemu ya nyumbani tarehe 20.04.2025 anakula goli kadhaa kutoka kwa miamba ya kandanda kutoka kwa Madiba hapo Bondeni Stellenbosch. Mods naomba nieleweke...
  2. Tajiri Tanzanite

    Tunaomba viongozi wa Simba wafanye mpango Simba ikacheze ligi kuu ya Misri

    Hapo vip!! Kwa ubora wa Simba na hadhi yake inauwezo wa kucheza ligi kuu ya misri kisha ikatwaa kombe. Tukumbuke Simba ni timu ya 4 sasa hivi kwa ubora na ukubwa barani Afrika,hivyo kwa hujuma za wivu,za kishetani ,za kijinga,za kimaskini na kipumbavu zilizopo kwenye ligi yetu ambazo...
  3. Scared

    Simba sports club a.k.a makolo dunduka asilimia 100% wanaenda kutolewa na wasouth wa Stellenbosch

    Mimi tanzania Sina timu ila naongea kimpira Kuna timu inaitwa simba sipos kilabu au tuwaite mbumbumbu fc a.k.a makolo fc inaenda kuishia kwenye mdomo wa wasouth Africa ukweli usemwz wale waarabu wa Al masry ni wakulima wa mahindi pale misri hivyo wao na mpira ni vitu viwili tofauti Sasa...
  4. M

    Wachezaji wa Azam wanaopaswa kuchezea Simba Msimu ujao

    Nawaomba na kuwasihi sana viongozi wa Simba, kuna mwaka tukiwabeba akina Manula, Nyoni, Bocco na Kapombe baada ya azam kushindwana nao kwenye dau , wachezaji hao waliiletea Simba heshima kubwa sana, hata hivyo matokeo ya jana azam kuliwa na Yanga yamenifanya niwashawishi viongozi wangu kufanya...
  5. DELETED ACCOUNT

    Serikali ihakikishe mechi zote za Simba za kimataifa zinachezwa uwanja wa Mkapa

    Wasalaam, Hongera kwa jamii yote ya wapenda maendeleo ya mpira nchini kwa mafanikio ya Simba SC kutinga nusu fainali ya CAFCC 2024-25. Bila kusema mengi, baada ya mechi ya marudiano ya Simba vs Al Masry, serikali ilitoa tamko kuwa uwanja unafungwa kwa matengenezo na kwamba Simba itafute uwanja...
  6. ngara23

    Simba malizeni fungate yenu ya kusherehekea semi final ya shirikisho mje kuzipa gap la points 10

    Mashabiki na Wanachama huwambii kitu baada ya kufuzu semi final huko shirikisho yaani UMISETA au netball au mashindano ya akina mama kama alivosema Kaduguda Leo young Africans amemfunga Azam na kuongeza gap la points 10 Kumbuka Azam na Yanga ndo wababe maana wamecheza CAFCL msimu huu ila...
  7. Smart Finance

    Happy Birthday Aliko DANGOTE - Simba wa Afrika

    Leo ni siku ya kuzaliwa ya Aliko Dangote – bilionea namba moja Afrika na mfano wa kuigwa kwa wawekezaji wadogo. Kupitia safari yake ya kibiashara, tunajifunza kuwa mafanikio makubwa yanaweza kuanzia Kwa hatua ndogo kabisa. Dangote alianza na biashara zake Kwa mkopo, aliaminiwa na kukopeshwa na...
  8. uhurumoja

    Hivi Simba na Yanga wanashindwa vipi kuwa na uwanja kama huu wa jkt

    Nikiangalia huu uwanja ni standard sana japo ni WA kawaida kabisa Sasa hizi team zinashindwa vipi kupata uwanja mzuri kama huu!?
  9. GENTAMYCINE

    Nawaonyeni mapema kuwa leo shindeni kwani mkitoka tu Sare au Mkifungwa jueni mapema kuwa Simba SC anaenda kuwa Bingwa 2024/2025

    Msije kusema sikuwaonyeni mapema kwani kwa Moto wa sasa Watu hawatolala tena na sasa ni mbele kwa mbele tu Ok?
  10. Komeo Lachuma

    Acheni kulishana Upepo. Simba haiwezi kuchukua kombe hili la CAF. Anaenda kuzikwa South Africa

    Ile kushinda jana kuna mabwege wameshaanza kuandika upuuzi. Yaani hii Simba tia maji tia maji ya kufika Fainali? Nyie mnafanya masikhara sana. Labda umri wenu ndo changamoto. Mnaanza kulishana upepo mkidhani mtashiba kutokana na njaa kali ya Makombe mliyo nayo kwa miaka hii 4. Na mwaka huu...
  11. kipara kipya

    Simba anakwenda kuvunja rekodi walioshindwa yanga kwa kutwaa ubingwa shirikisho yanga hajawahi vuka hatua ya makundi Champion ligi.

    Yanga alicheza fainali kama best looser kutoka mechi za champion hakupambana tangu awali na huko pia alibebwa na simba baada ya kufanya vizuri na nchi kuongezewa washiriki..Simba anakwenda kucheza fainali kwa kuipambania wenyewe na kulitwaa kombe na kuivunja rekodi ya yanga ya kufika fainali na...
  12. Waufukweni

    Simba kuvuna Kitita zaidi ya TSh. bilioni 2 kutoka CAF

    Klabu ya Simba SC itapata kitita cha dola 750,000 sawa na zaidi ya Shilingi bilioni 2 (2,006,874,750) baada ya kufuzu hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba SC imefanikiwa kutinga hatua hiyo baada ya kuwatoa Al Masry SC ya Misri kwa mikwaju ya penati 4-1, kufuatia sare ya...
  13. ChoiceVariable

    Simba SC yatikisa kwa ubora Afrika, yapanda hadi nafasi ya 4

    My Take Lipokuja swala la kuiheshimisha Nchi na Ligi ya Tanzania Kimataifa,Simba ni Timu ipewe maua yake.
  14. R

    Simba imepanda kuwa timu ya nne kwa ubora Africa kwa vigezo vya CAF 5 Year ranking,

  15. Waufukweni

    Simba SC kuivaa Stellenbosch baada ya kuitupa nje Zamalek SC, Nusu fainali Aprili 20

    Simba SC itakutana na Stellenbosch FC ya Afrika Kusini baada ya kuwatoa Zamalek SC, Stellenbosch kashinda bao moja sifuri ugenini palepale Cairo. Soma, Pia: FT: Simba SC 2-0 Al Masry SC | Robo Fainali CAF CC | Uwanja wa Mkapa | 09 Aprili 2025 Mechi za nusu fainali zitapigwa April 18-20 na...
  16. Allen Kilewella

    Simba kucheza na Stellenbosch nusu fainali

    Mechi imemalizika Kwa Stellenbosch kuifunga Zamalek Moja bila. Hivyo nusu fainali ni Simba na Stellenbosch
  17. A

    Hongereni Simba, al Masry amesakwa

    Wamejitahidi kucheza kwa nidhamu sana.ni timu mpya ambayo uwepo wake ni August mwaka jana. Valentino Nouma hastahili kuwa benchi.
  18. Dumas the terrible

    Mwamposa SC,This is Simba,Taifa limetabasamu,

    Ama kweli simba
  19. mdukuzi

    Nimeahidi kutembea tumbo wazi toka Kariakoo mpaka Ubungo endapo Simba itafuzu nusu fainali

    Hii ni ahadi na itatekelezwa Safari imeanza wazee niko magomeni
  20. M

    Mvua ndio uchawi wa simba, mwarabu atakuwa anateleza tu na kulala. Ili Simba avuke lazima apate magoli mapema

    Mvua inanyesha dar Simba wanafurahia
Back
Top Bottom