Mashabiki wa Klabu ya Simba wa Tawi la UWASINYA lililopo katika Kata ya Nyarugusu, Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mkoani humo, katika kuelekea Msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC), wamesherehekea Simba Day kwa kujenga Mnara mrefu.
Zaidi ya Mashabiki 300 wamehudhuria sherehe hizo.
Akizungumza...