Miss Halima
JF-Expert Member
- Aug 4, 2026
- 302
- 646
Mashabiki wa Klabu ya Simba wa Tawi la UWASINYA lililopo katika Kata ya Nyarugusu, Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mkoani humo, katika kuelekea Msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC), wamesherehekea Simba Day kwa kujenga Mnara mrefu.
Zaidi ya Mashabiki 300 wamehudhuria sherehe hizo.
Akizungumza Mwenyekiti tawi la Simba Uwasinya , Joel Mganyizi amesema lengo la Sherehe hizo ni kufanya Harambee ya kukusanya kiasi cha Shilingi Milioni 100 zitakazotumika kuendesha shughuli za Tawi hilo sambamba na kununua Uwanja wa Mpira.
Zaidi ya Mashabiki 300 wamehudhuria sherehe hizo.
Akizungumza Mwenyekiti tawi la Simba Uwasinya , Joel Mganyizi amesema lengo la Sherehe hizo ni kufanya Harambee ya kukusanya kiasi cha Shilingi Milioni 100 zitakazotumika kuendesha shughuli za Tawi hilo sambamba na kununua Uwanja wa Mpira.