Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,992
- 218,926
Ni kikao gani cha timu ya Simba kilichoidhinisha mtu asiyejua lolote kwenye soka aitwaye Makonda kuwa Mshauri Mkuu?
Nakala : OKWI BOBAN SUNZU
Nakala : OKWI BOBAN SUNZU
Mo anataka kulazimisha kutekwa kwake kuwe kutekwa kwa Simba, hii haikubaliki.Mh hii Simba hii ya akina Manara niliona nikae pembeni na mzee Kilomoni. Wazee wana busara, wazee wana hekima. Kwenye mji hapakosi wazee.
Si kweliMO ndo mmiliki wa simba anaweza akamweka na kumtoa yeyote
Kwenye hili Mo anatafuta kutimuliwa Simba kiujanjaPonjoro ameshawazidi akili, hili tatizo mzee kilomoni pekee ndo aliliona mapema ila mambumbumbu mkamletea figisu mzee wa watu.
Hayaa uyo makonda ana utaaalam gani katika soka mpaka awe mshauri mkuu? Inamana simba hakuna wachezaji wa zamani kushikaa hiyo nafasi?
Ishu hapo ni uchaguzi mkuu 2020 Mo kaingiza siasa na usikute sio matakwa yake katika uteuzi huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, ndio hivyo tena Mkuu, sie tushangilie ushindi tu, mwekezaji kaamua.Mo anataka kulazimisha kutekwa kwake kuwe kutekwa kwa Simba, hii haikubaliki
MO ndo mmiliki wa simba anaweza akamweka na kumtoa yeyote
Hahahaha, Mkuu Erythrocyte tafsiri ndio hy RC kateuliwa na mwekezaji , hana haja ya kuuliza bodi wala wanachama cz anatoa hela zakeSi kweli
Hakuna namna wanachama tuanze kujipanga kumiliki hisa zile 51, then mwenyekiti akienda ktk bodi awe na nguvu ya kusemeaKwenye hili Mo anatafuta kutimuliwa Simba kiujanja
NaamSimba ilishaga binafsishwa kitambo, wanachama mpo tu kama gresha. Kwanza hamna mchango wowote kwa timu, wacha wenye fedha zao wafanye wanavyojisikia roho inapenda. Ukikubali kumuoza binti yako isimuekee masharti muoaji.
Hahahaha, Mkuu Erythrocyte tafsiri ndio hy RC kateuliwa na mwekezaji , hana haja ya kuuliza bodi wala wanachama cz anatoa hela zake
Wanasimba tuanze kuchanga tuchukue hisa zetu wanachama zile 51, kifupi wanachama ktk bodi hakun nguvu.
MTC | 101|
Nimeamini maneno ya RageNi kikao gani cha timu ya Simba kilichoidhinisha mtu asiyejua lolote kwenye soka aitwaye Makonda kuwa Mshauri Mkuu?
Nakala okwi boban sunzu
Mkuu ungeanza kuhoji yanayoendelea huko yanga kwenu kabda ya kuhamia huku simba ambako hakukuhusu...ungehoji inakuwaje GSM ndo wanasajili wachezaji badala ya benchi la ufundiMo ana miliki 49 percent 51 wanamiliki wanachama inakuaje huyu mwenye percent ndogo ndio ana fanya maamuzi au mimi ndio kichwa changu kigumu kuelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungeanza kuhoji yanayoendelea huko yanga kwenu kabda ya kuhamia huku simba ambako hakukuhusu...ungehoji inakuwaje GSM ndo wanasajili wachezaji badala ya benchi la ufundi
Mtaje mwanachama hata mmoja mwenye hisa pale mikiani kumzidi MoMo ana miliki 49 percent 51 wanamiliki wanachama inakuaje huyu mwenye percent ndogo ndio ana fanya maamuzi au mimi ndio kichwa changu kigumu kuelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app