Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
Hili ni angalizo ninalolitoa kwa Timu yangu ya Simba , Tusithubutu kudharau yanga kwa sababu ya dhiki waliyonayo , tutaumia ! Inapofika siku ya mazishi Masikini wanakuwa na umoja wa ajabu sana !
Hebu angalia Buguruni kwa Mnyamani au Temeke Mikoroshini jinsi masikini wanavyozikana , hawajawahi kushindwa kumsitiri Marehemu , hata ukiangalia game ya Arsenal vs Man U wacheza kamari wengi waliweka mzigo kwa Manchester United na mikeka kibao ilichanika .
Tuingie kwenye game tukiwa makini sana , vinginevyo tutachapana bakora .
Hebu angalia Buguruni kwa Mnyamani au Temeke Mikoroshini jinsi masikini wanavyozikana , hawajawahi kushindwa kumsitiri Marehemu , hata ukiangalia game ya Arsenal vs Man U wacheza kamari wengi waliweka mzigo kwa Manchester United na mikeka kibao ilichanika .
Tuingie kwenye game tukiwa makini sana , vinginevyo tutachapana bakora .