Hilo mbona halina mjadala tenaKuna mpango wa Simba kutakiwa kuidai Aston Villa hela ya uhamisho wa Mbwana Samatta kutoka Genk kwenda Aston Villa kwa mujibu wa Aden Rage.
Sheria za uhamisho wa wachezaji zinaruhusu Simba kudai hela Aston Villa?
Kwenye Dili la kwenda Genk simba ilipata mgao , mbona hoja yako haikuwa na nguvuSamata aligoma kufanya mazoezi simba baada ya kutotimizia ahadi ya kupewa gari, ndio akaenda tp mazembe, hiyo 10% haipo.
Kwel aisee njaa mbaya SanaTusijemharibia Samatta huko aendako kwa kutanguliza njaa zetu. Nadhani tuache figisu kijana ashindwe mwenyewe
Ishu sio kumharibia samata ishu mkataba unasemaje? Kwa nilivyosikia hapo mwanzoni kuwa kila samata anapouzwa simba ina % yake kutoka kwa timu inayopokea mzigo kwahiyo simba hawataidai AV wataenda kudai GenkTusijemharibia Samatta huko aendako kwa kutanguliza njaa zetu. Nadhani tuache figisu kijana ashindwe mwenyewe
Yeah!Ameshaenda kwan?
Mzee upo dunia gani? Wakati anaenda genk simba walivuta mshikoSamata aligoma kufanya mazoezi simba baada ya kutotimizia ahadi ya kupewa gari, ndio akaenda tp mazembe, hiyo 10% haipo.
Naona juice ya miwa imekuleweshawaswahili mmeanza mawazo ya njaa, ya kimaskini? kazi hamtaki kufanya mnataka fedha za cchuma ulete, wahay nk. Fikiria utakula vipi wewe na wanao kwa kufanya kazi sio kufikiria utapata vipi fedha za mafanikio na jitihada za mwenzako. Kama MO amejitoa sasa mnafikiria mtapata wapi za kupiga ng'o!! hampati hata shilingi