simba

  1. JamiiForums Tanzania TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika serikali ya awamu ya tatu, Iddi Mohamed Simba afariki dunia

    Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika serikali ya awamu ya tatu, Iddi Mohamed Simba amefariki dunia leo. Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alipokuwa akipatiwa matibabu...
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Nimewaelewa vizuri sana fans wa simba, hawapendi kufungwa au kutoa sare

    Sio kua hawajui kuna kupoteza mechi, bt hawaitaki hali hiyo coz wanaithamini club yao na hawataki iwe mazoea ndo maana wanaripuka sana ikipoteza/kutoa sare... kwa hili nawapongeza coz wanaonesha uzalendo wapekee sana kwa timu yao.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Simba SC tunakwama wapi?

    Simba sasa tumekuwa kama pombe ya ngomani kila mtu anataka ainywe. Hakuna timu sasa inayoogopa kucheza na Simba. Inashangaza sana kuona timu zinafunguka mbele ya Simba wakati nakumbuka ukiwa unacheza na simba lazima uchague kati ya haya ufunguke upigwe Mkono au ujilinde upigwe 2 au tatu...
  4. JamiiForums Tanzania Video : Seleman Matola aanza kufungishwa virago Simba

    Haya mambo yameanza kufumuka baada ya kichapo cha jana
  5. J

    JamiiForums Tanzania Utalii: Simba 17 wahamishiwa katika hifadhi ya taifa ya Burigi - Chato

    Jumla ya Simba 17 wamehamishiwa katika hifadhi ya taifa ya Burigi huko Chato ikiwa ni hatua ya kuimarisha vivutio vya utalii Kanda ya Magharibi. Simba hao wamepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Gaguti ambaye amewataka wananchi wa maeneo hayo wawe wakarimu wakati wa kuwapokea...
  6. JamiiForums Tanzania Vodacom Premier League 'VPL Uwanja wa Uhuru Dar: Simba SC 0 - 1 JKT Tanzania

    Patashika ya ligi kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL kuendelea kupigwa tena leo February 7, 2020 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC, wanawakabili JKT Tanzania. Patashika hii ya aina yake ikiwa ni mzunguko wa pili, inatarajiwa kuwa kali na ya kusisimua kwa muda wote wa mchezo. Simba SC kwenye...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Poleni sana wana Simba

    Mpira ni dakika tisini. Ndivyo ilivyotokea leo. Poleni sana. Mpira wenu kwa kweli umerudi nyuma sana siyo kama wakati wa Patrick ausemms. Mjitafakari muone kuna tatizo wapi. Lile boli la kutandaza halipo tena. Muwe na makocha wazuri wa makipa. Naona makipa wote wawili wana matatizo fulani...
  8. JamiiForums Tanzania Kocha Simba amefunikwa na vivuli vya waamuzi

    Kiukweli timu ya Simba inashinda mechi zake kwa mbinde ikionekana kupata matokeo kwa bahati na sibu tu, pengine kwa kusaidiwa na udhaifu wa waamuzi na mipango ya nje ya uwanja. Kama TFF na Serikali wakisawazisha suala la waamuzi nchini huenda tukashuhudia Simba ikipata matokeo hasi chini ya...
  9. JamiiForums Tanzania Muhimu : Simba iitishe Mkutano Mkuu wa Dharula ili kumuondoa Makonda

    Sasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia nzima . Simba ni Taasisi kubwa yenye mipango mingi ndani na nje ya nchi , mtu mwenye tuhuma za kuzuia...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Simba Haina ubora anaotuamisha Haji Manara

    Simba ya msimu uliyopita ndo ilikuwa yenye ubora na sio hii ya sasa.Kuna mambo yaliyochangia Simba hii isiwe na ubora USAJILI Baada ya Simba kufanikiwa kuingia robo fainal kwenye CAF champions league wakajiona wapo level moja na team kama As vita baada kutolewa wakajipanga kwenye usajili...
  11. JamiiForums Tanzania Mshauri Mkuu wa Simba marufuku kwenda Marekani

    Sasa ndiyo tumeona busara ya Mo kumteua Makonda kuwa Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba. Najua wana Simba wenzake wakifadhaika sana na uteuzi huo. Hili la kupigwa marufuku kwenda Marekani kwa sababu ya ukiujwaji mkubwa wa haki za binadamu unaiweka wapi Simba SC? Mo, acha uoga, mtimue Makonda mara moja.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: ally ally ,Raphael daudi na baadhi ya wanachama wadaiwa kuhongwa NOAH na simba

    Team kali ya simba inadaiwa kuwahonga wachezaji Ally ally na Raphael daudi Noah za milioni 10 kila mmoja ili wakatae kwenda kwa mkopo katika team wasizozitaka walizokuwa wanalazimishwa na team namba moja kwa ubora barani afrika yaani yanga sc Vilevile wanachama watano wa klabu hiyo tajiri kabisa...
  13. JamiiForums Tanzania Kabwili awasha moto Simba, TFF

    Kabwili alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na kituo kimoja cha redio nchini, ambapo alieleza kuwa Simba ilimshawishi afanye kosa kwenye mechi dhidi ya JKT Tanzania litakalomfanya aonyeshwe kadi ya njano na kufikisha idadi ya kadi zitakazomsababisha akose mechi iliyofuata baina ya watani wa...
  14. JamiiForums Tanzania MO Dewji, Simba hujauziwa usipachike vyeo watu uwapendao na wasio na mchango wowote, wenye timu tupo tukiamua hata kesho asubuhi unaondoka

    Ni kikao gani cha timu ya Simba kilichoidhinisha mtu asiyejua lolote kwenye soka aitwaye Makonda kuwa Mshauri Mkuu? Nakala : OKWI BOBAN SUNZU
  15. JamiiForums Tanzania Simba wana mgao kwa Samatta kwenda Aston Villa?

    Kuna mpango wa Simba kutakiwa kuidai Aston Villa hela ya uhamisho wa Mbwana Samatta kutoka Genk kwenda Aston Villa kwa mujibu wa Aden Rage. Sheria za uhamisho wa wachezaji zinaruhusu Simba kudai hela Aston Villa?
  16. JamiiForums Tanzania Simba ina wapenzi wengi kuliko Yanga sababu ni rangi zake kufanana na CCM

    Ni jambo la wazi kwamba simba inapendwa Sana Tanzania kuliko club yoyote ile. Yanga ina WAPENZI wachache ukilinganisha na Simba pamoja na kulazimisha kupendwa kwa kujiita eti ni timu ya wananchi. Sababu kuu ya yanga kutokupendwa ni rangi zake zinazofanana na CCM ikumbukwe kwamba chama hiki...
  17. H

    JamiiForums Tanzania Simba Leo anapoteza dhidi ya mbao

    Binafsi me ni mshabiki wa Simba na namna timu yangu inavyocheza ni ngumu Sana kupata matokeo mechi za mikoani tupo slow, atutumii energy kubwa kwenye game na ukiangalia na mbao wanavyocheza Leo tutafungwa tukijitaidi Sana ni draw
  18. JamiiForums Tanzania Simba na Yanga ndio burudani pekee tuliyobaki nayo

    Kushabikia hizi timu kuna raha sana hasa mtani wako akifungwa furaha inazidi kua maradufu. Juzi Simba walikua wanalia leo wanacheka huku Yanga wakilia na si ajabu leo jioni Yanga wakacheka tena. Ni kupokezana kijiti
  19. JamiiForums Tanzania Simba anzeni kupiga jalamba

    Penye moshi kuna moto, muda sio mwingi Mh. MO atakaa pembeni maana inaonekana anatoa pesa yake kishingo upande. Kuna siku alisemega kuwa 20 bil zake zinaweza kununua bank, na sasa anasema 4bil zake zinatumika kulipa mishahara ya Simba bila sababu. Mh. MO anataka Simba ishinde mechi zoooooote...
  20. JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kinachowaangusha Simba

    Huyu mdau anasemaje? Jicho langu: TATIZO LA SIMBA LINAJENGWA NA VIONGOZI Hakuna anayeweza kubisha kuwa simba ndiyo timu yenye wachezaji bora kwa sasa Afrika Mashariki, Simba inao wachezaji wa kila namna wanaoweza kutengeneza matokeo hata wale ambao hawapati nafasi mara kwa mara bado ni bora na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…