Habari wadau..
Nimesikia simba wanamtaka morrisson.. nikashangaa sana.. simba imesajili watu wengi wazuri mbele ila bado inahangaika..
Kwa uzoefu wangu wa kutazama caf champions league nimejifunza mengi sana..
Mpira wa africa una tofauti kubwa na wa ulaya.. ushindani wa caf champions league ni mkubwa kuliko hata wa uefa champions league... sema africa hakuna hela tu ila timu zinatwaa taji hilo kwa mbinde sana.. africa kushinda ama kupata sare ukiwa away ni kazi kubwa kweli kweli.. timu zinazotoa hata sare ugenini ndio zinazotwaa mataji..
Simba imebarikiwa tajiri mwenye hela kuamua kuwekeza hela zake. Hiyo ni bahati kubwa sana..
Kama simba inataka itwae taji hilo nguvu kubwa iwe kwenye beki line ya ukweli.. na kipa wa uhakika maana game za mtoano away lazima ushambuliwe sana hata uwe na timu kali vipi.. na watakaokusaidia usitolewe ni mabeki wa ukweli na kipa wa ukweli...kuna msemo unasema good offence win matches but good defence win championships
Naonaga mamelodi dennis onyango anachomwaga mpaka masindano ya ganzi ili game za away akae yeye golini.. maana wanajua mziki ni mnene ukiwa ugenini africa hawa makipa na mabeki miili midogo midogo, wenye uzembe wa kijinga na maboko mengi hawafai
Nimesikia simba wanamtaka morrisson.. nikashangaa sana.. simba imesajili watu wengi wazuri mbele ila bado inahangaika..
Kwa uzoefu wangu wa kutazama caf champions league nimejifunza mengi sana..
Mpira wa africa una tofauti kubwa na wa ulaya.. ushindani wa caf champions league ni mkubwa kuliko hata wa uefa champions league... sema africa hakuna hela tu ila timu zinatwaa taji hilo kwa mbinde sana.. africa kushinda ama kupata sare ukiwa away ni kazi kubwa kweli kweli.. timu zinazotoa hata sare ugenini ndio zinazotwaa mataji..
Simba imebarikiwa tajiri mwenye hela kuamua kuwekeza hela zake. Hiyo ni bahati kubwa sana..
Kama simba inataka itwae taji hilo nguvu kubwa iwe kwenye beki line ya ukweli.. na kipa wa uhakika maana game za mtoano away lazima ushambuliwe sana hata uwe na timu kali vipi.. na watakaokusaidia usitolewe ni mabeki wa ukweli na kipa wa ukweli...kuna msemo unasema good offence win matches but good defence win championships
Naonaga mamelodi dennis onyango anachomwaga mpaka masindano ya ganzi ili game za away akae yeye golini.. maana wanajua mziki ni mnene ukiwa ugenini africa hawa makipa na mabeki miili midogo midogo, wenye uzembe wa kijinga na maboko mengi hawafai