Sir Lindege
Member
- Sep 10, 2013
- 35
- 180
kweli mbumbumbu fc, mnaanda lori seriously!
HaaaaaahaaaaaHii timu ya hovyo kweli,wanaandaa lori halafu kocha anawagomea kupanda
Ndio maana hawajatokea hapa. 😂😂 Wengi wanaupitia uzi kwa mbali.kweli mbumbumbu fc, mnaanda lori seriously!
Jifunzeni hata robo ya wenzenu wanavyofanya mambo kiuweledi. View attachment 1501769 View attachment 1501772
Hao ndio MBUMBUMBU mdogo wangu.Haaaaaahaaaaa
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us