Kocha wa Simba atimuliwe

Anaona mapungufu anashindwa kurekebisha mzamiru hakuwa mchezoni lakini kambakisha hadi mwisho kwa kifupi kiungo kilipwaya
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Acheni uswahili nyie.Kama unaona mapungufu na hujui ni yapi halafu unakosoa kwa hisia tu.Acheni kushabikia mpira kuna taarabu zipo zitawafaa sana.
 
Tajiri kasema atasajili toka popote kwa gharama yoyote.
Vipi Ajib hakucheza leo au kama kawaida ana family problem?

Kishingo haondoki leo wala kesho. Bado yupo sana.
 
Back
Top Bottom