Huyu kocha naona huu ndo muda muafaka kwa uongozi wetu kumtimua maana kila siku anazoendelea kubakia timu nayo inaendelea kuwa mbovu.
#kishingoout#kishingorudikwenu
Mataga yanawewesekaKijana mbona hujaweka sababu za kutaka afukuzwe? Unadhani wote tunafikiri kama ufikiriavyo wewe?
Ndo kitu gani hicho?Mataga
Timu yenye matokeo mazuri ni ipi?Matokeo mabovu ya timu.
Ulitaka nani acheze kiungo wa chini wakati kwenye benchi hakukuwa na mbadala?!Anaona mapungufu anashindwa kurekebisha mzamiru hakuwa mchezoni lakini kambakisha hadi mwisho kwa kifupi kiungo kilipwaya
Wew umenena point kbsaaaaa, kati ya klabu iliyojaa vikongwe Simba inaongoza..!!Timu imejaa vikongwe Wawa,Nyoni,Deo Kanda,Kagere,Boko na wengine walikuwa Wapishi toka Brazil,unategemea kocha afanyeje
Kwanini asiweke mbadala Fraga wamekaa kumbania Mzamiru katoa maboko kibaoUlitaka nani acheze kiungo wa chini wakati kwenye benchi hakukuwa na mbadala?!
Family problem anayo Morison hadi anamzimia simu kochaTajiri kasema atasajili toka popote kwa gharama yoyote.
Vipi Ajib hakucheza leo au kama kawaida ana family problem?