simba

  1. GENTAMYCINE

    Namtafuta sana anayewadanganya Mashabiki wa Simba SC kuwa Kaizer Chiefs FC ni 'wepesi' na 'utopolo' mno kama walivyo Yanga SC

    Kwa kuwafuatilia Kwangu kwa Jicho la Kiufundi naliomba Benchi la Ufundi la Simba SC lifanye Maandalizi makubwa ikiwezekana hata kuliko yale waliyoyafanya ilipocheza na Al Ahly hapa Dar es Salaam. Wana Winga zao ( Viberenge ) Wawili ambao nina uhakika Siku hiyo akina Kapombe na Tshabalala...
  2. Ghazwat

    Yanga SC wakitaka kuepuka kipigo kwa Simba SC, wafanye kama Manchester Utd

    Yanga SC wakitaka kuepuka kipigo kizito kutoka kwa Mnyama Mkali Simba SC, hapo Mei 8, 2021, basi wafanye kama walivyofanya mashabiki wa Manchester United na kusababisha game yao na Liverpool kutochezwa. Wanavamia Uwanja wa Mkapa na viunga vyake na kuandamana kulazimisha wadhamini wao kampuni ya...
  3. lee Vladimir cleef

    Simba siyo tu timu ya ajabu, bali pia ina wachezaji wa ajabu

    Beki wake mahiri kabisa wa katikati kwa wakati huo,na akiwa beki pekee tegemezi wa Taifa Stars Ndugu George Masatu akiwa na Timu ya Taifa alimdhibiti vilivyo mchezaji hatari Kabisa Afrika na Duniani akiwa na Timu yake ya Taifa huko kwao Liberia ndugu George Opong wear. Wakati huo George Wear...
  4. U

    Umewasikia WanaSimba! Wanasema 8/5/2021 siyo mechi bali ni siku ya mazoezi kwao kujiandaa na Kaizer Chiefs

    Wadau Siyo maneno yangu ila nimewanukuu wapenzi wa Simba muda mfupi ulipita kupitia Luninga. WanaSimba Wanasema. Kwamba Mei 8 watakutana na Yanga kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mechi na Kaizer Chiefs. Kwamba wanaYanga wote wenye pressure wasiende uwanjani siku hiyo!
  5. Kipenzi Changu

    Simba Sc hii inatisha, Yanga tutawachakaza mpaka mashabiki wakimbie uwanjani

    Hiyo tarehe 8 hatimaye imebaki siku 5 tu tutembeze kichapo cha mbwa koko. Tutawachakaza mpaka mashabiki wenu wakimbie uwanjani. Wakati mnategemea mazali na kudra za Mungu mjiandae kisaikolojia kupokea kichapo cha kuchakaza. Hamna kikosi cha kupambana na Simba Sc, Simba wanapiga mpira na...
  6. Ghazwat

    Uwanja wa Mkapa | Kombe la ASFC, Simba SC 2 - 1 Kagera Sugar

    Patashika ya Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) linapigwa leo Mei 1, 2021 kwenye Uwanja wa Mkapa, ambapo Mabingwa Watetezi, Simba SC wanakwaruzana na Kagera Sugar katika mchezo wa hatua ya 16 ya michuano hiyo. Kwenye mchezo wa leo Mnyama Mkali Mwituni, Simba SC anapewa nafasi kubwa ya...
  7. GENTAMYCINE

    Kwa Kukengeuka na Kutukana simuungi mkono Nahodha wa Prisons, ila kwa tuhuma aliyoitoa dhidi ya Yanga namkubalia na Simba tumo pia

    Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa? Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi...
  8. homeless1

    Robo Fainali CAFCL: Simba Sc kukutana na Kaizer Chiefs

    Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu na wapenda kandanda Africa baada ya kuisha hatua ya Makundi ya michuano ya klabu bingwa Africa na Kombe la shirikisho Africa Kuelekea kupangwa kwa droo ya robo fainali kaa nami upate live updates ujue nani kakutana na nani na mechi zitachezwa kuanzia lini...
  9. Chizi Maarifa

    Tanzania Prisons msijidanganye. Yanga siyo Simba. Wazoeeni hao hao siyo Sisi

    Mmejanga mazoea na Simba mnadhani na Yanga ni kama Simba. Mazoea yenu huko huko msilete kwa Yanga Mnapolalia nyie siye ndo tulipoamkia. Wala hatuna mchecheto. Kona na njia zenu tunazifahamu. Simba mnawawezea sababu hawajui hiyo michezo.sisi siyo Team ndogo kwa taarifa yenu. Leo tunawala...
  10. GENTAMYCINE

    CAF yataja Vilabu Bora 30 Afrika Simba SC yapanda hadi nafasi ya 13, ila Yanga SC hata katika Vilabu 200 Bora Afrika pia haimo

    Pongezi nyingi mno kwa Serikali ya Tanzania, Klabu ya Simba, Wanachama, Mashabiki, Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez, Shirikisho la Soka nchini TFF na hasa hasa Kwake Mwenyezi Mungu kwa 'Kuibariki' Klabu ya Simba SC kupata Mafanikio haya makubwa ( hasa Kimataifa ) na Kuitangaza Tanzania...
  11. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC tafadhali kwa 'Umafia' unaopangwa na Yanga SC kuelekea 'Derby' yetu nao May 8, Wafuatao wasicheze FA Jumamosi

    Nimepenyezewa za ndani kabisa kutoka kwa Watu wa Yanga SC ( ambao wanajua Mimi ni mwenzao ) kuwa wamezungumza na Wachezaji wa Kagera Sugar tunaocheza nao FA Jumamosi ili 'Wawaumize' Wachezaji wetu Muhimu ( Waandamizi ) Wanaotakiwa 'Kuumizwa' vibaya ili wakose ( waukose ) mtanange wa Simba na...
  12. R

    Mshika kibendera mechi ya Gwambina Vs Simba afungiwa mizunguko mitatu

    Mshika kibendera msaidi wa mechi ya Simba na Gwambina amefungiwa mizunguko mitatu baada ya kuboronga mechi ya Simba na Gwambina. Kwa adhabu hii inaonyesha TFF na bodi ya ligi hawapo serious kwani kitendo alichofanya kwa makusudi kingeleta madhara makubwa iwapo Gwambina wangesawazisha au...
  13. N

    Shafii Dauda adai aliiokoa Simba dhidi ya Yanga kuchukua wachezaji

    Maajabu yanaendelea baada ya kula mshiko wa zimbwe junior ikiwa malipo yake ya kuitukana simba na CEO barbra gonzalez shafii dauda anadai kwamba yeye anatakiwa ashukuriwe sababu kaiokoa simba KWANI KAPOMBE NA ZIMBWE WALISHASAINI PRE CONTRACT YANGA. Walahi yaani watu wanadai wao wanapigania...
  14. N

    Hizi ndo dharau ambazo hatupendi Wanasimba: Mo Dewji kaaa mbali na picha za Zimbwe

    Nilijua tu mwisho wa yote watajinasibu kwamba wao ndiyo wamefanikisha sasa ikitokea Mo kapiga naye huyo kijana wao niseme boss wao anayewapa hela yaani Mohamed Hussein Zimbwe Junior captain msaidizi aliyeamua yeye na wapambe wake kutumia vurugu na lugha za maudhi ili kuongezewa mkataba. Please...
  15. GENTAMYCINE

    Mohammed Hussein Tshabalala 'asinya' Simba SC mbele ya Kocha Mkuu Profesa Gomez

    Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa. Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu. Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu. Klabu...
  16. Kipenzi Changu

    M.Hussein Zimbwe Jr aongeza mkataba Simba Sc

  17. Komeo Lachuma

    Simba msimsajili Mohammed Hussein. Mwacheni aende anakopelekwa na Mzozo na Wachambuzi. Mshukuruni kwa huduma yake, Mwacheni!

    SIMBA NI TEAM KUBWA. MOHAMMED HUSSEIN ni mchezaji kama wachezaji wengine waliopita Simba wakaenda zao. Huyu hawezi Isumbua Simba hata kidogo. Mwacheni Meneja wake asiye na Shule amchukue ampeleke anakotaka. Mkimsajiri Mo Hussein kwa kushirikiana na huyu Meneja Mhuni. Alikuwa na njia sahihi za...
  18. Komeo Lachuma

    Wachambuzi kwanini mnataka sana Mohammed Hussein abaki Simba? Meneja wake ndiye atakayemponza kwa uswahili wake

    Naona wanaohangaika sana na hili suala ni baadhi ya wachambuzi na Mzozo. Nadhani kama Simba wanamuhitaji wataongeza wau wangemwongeza. Sioni issue inakuaje kwa Mohammed Hussein aonekane bila yeye Simba haiwezi kwenda mbele? Nadhani wamwache tu aamue anachotaka, ana haki ya kwenda popote...
  19. Kipenzi Changu

    Simba SC kiwanda kikubwa cha burudani Tanzania

    Mungu akupe maisha marefu Mo Dewji, Bodi ya Simba, CEO Barbara, Mwamba Haji Manara. Mungu awape maisha marefu na ufanisi technical bench. Mungu awaongezee umaridadi wachezaji wooote first eleven, wanaokaa bench na wanaobaki majukwaani. Mnafanya kazi nzuri kutuba burudani washabiki...
  20. Ghazwat

    Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC | Vodacom Premier League | Benjamin Mkapa

    Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Aprili 27, 2021 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo Vinara wa Ligi, Mnyama Mkali Simba SC anapepetana na Dodoma Jiji FC. Mchezo inatarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu...
Back
Top Bottom