demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Masoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.
Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.
Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.
Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?
Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.
Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.
Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?