Game imeisha Simba inaelekea nusu fainali kwa mbinu ile ile waliyoitumia kuwatoa Mufulira Wonders ya Zambia kwenye mtanange unaofanana kwa 100% na huu.
Hatimaye Simba wamempata nyani kama yule wa wakati ule aliyefanikisha ushindi ule.
Safari hii shukrani za pekee zimwendee babu tale wa...
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Thadeo Lwanga
7. Jose Miquissone
8. Muzamiri Yasini
9. Chris Mugalu
10. Clatous Chama
11. Bernard Morrison
Wachezaji wa Akiba wawe hawa tu
1. Beno Kakolanya
2. David Kameta ' Duchu '
3. Pascal Wawa
4...
Kama kudharaulika tumedharaulika vya kutosha.
Viongozi wa Yanga wakati wa kusimama.pamojasasa Hawa TFF wawe na heshima kwetu.
Tunaomba msikubali cheza na Simba mpaka watujibu kesi zetu zote.
Yanga timu inayojiongoza na heshima yake watujibu kwanza; barua zote zile kesho mtasikia na za timu...
Kama mtanzania mpenda utaifa
Sioni simba kupita kwenye mechi ijayo.
Nashauri kuna nyuki zinatokea kila mara mechi gwambina tunaweza waa,zima kwa mda kwenye mechi yetu na kuwarudisha.
Otherwise tumwombe dk mwamposa afanye maombi sikumoja kabla ya mechi na wachezaji wapakwe mafuta miguuni...
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu ligi yetu. Ukiangalia Chelsea kacheza Jumamosi na Jana iumanne kacheza why Simba tunawekwa ubwete sana.
Niwaambie viongozi wa Simba kama wanaona kukaa tu bila kucheza mechi kisa mashindano ya kimataifa tunashusha viwango vya wachezaji. Mimi ni...
Ni nani aliyowaambia kuwa Kiufundi (hasa katika Mpira) Timu yako ikiwa imefungwa katika ' Margin ' kubwa ili nayo Kulipiza Kisasi (Kupundua Meza) Wachezaji wanatakiwa waahidiwe Magari ya Kifahari na kila Goli watakalofunga litanunuliwa kwa Tsh 260 Milioni?
Hizi Ahadi ndizo zitafanya Mabeki wa...
Katika miaka ya karibuni, Simba SC imekuwa ni klabu ambayo ilikuwa ikiwakilisha taifa letu kwenye michuano ya kimataifa-ngazi ya klabu bingwa Afrika. Pamoja na kuwa rekodi nzuri katika uwanja wa Mkapa hapa Dar inapowakaribisha wapinzani wao wageni, Simba imekuwa ikiliaibisha taifa hili kwa...
KAZIER CHIEFS 4 – 0 SIMBA: GAVIN HUNT’S 5-2-3 BAMBOOZLES GOMEZ
Once in a while you watch a match that is tactically fascinating that its tactical lessons stick with you for a lifetime. This was such a match. With Chiefs floundering in their domestic league and Simba high on confidence after...
Nawakumbusha tu simba..
Zama za kupuliza dawa zimeisha... au kusema watu wana corona....
Ama mseme wana corona kama al mereik.. rais wa caf anawapiga ban milele
Kisaikolojia Kumcheka Adui yako Mkubwa kwa Kuanguka ( Kufeli ) Kwake huwa ni Jambo la Kawaida ila halijawahi kuwa Suluhisho la kumaliza Matatizo yako ya kudumu uliyonayo.
Tunawacheka Simba SC kwa Kipigo cha Kufungwa Magoli Manne ( 4 ) na Kaizer Chiefs FC juzi ila tusijisahaulishe kuwa nasi huku...
2003 simba sc ilitikisa afrika nzima kwa kuwatoa mabingwa watetezi zamaleki waliokuwa kama weeks mbili nyuma wametoka kutoa draw na real madrid ya kina zidane,gutti kwenye club bingwa ya dunia
Marahemu james siang'a mkenya aliyekuwa kocha wa simba anasema kuna mtanzania mwenye asili ya kiasia...
Kama Mwamamichezo Halisi ( japo sijifichi ni mwana Simba SC ) nianze kwa Kuwapongeza Kaizer Chiefs FC kwa Ushindi wa Goli Nne na niwape pia Pole Simba SC kwa Kufungwa Mchezo huu wa Kwanza leo.
Zifuatazo ni sababu zangu Binafsi za Kiuchambuzi Mimi Krav Maga kwanini Simba SC tumefungwa na Kaizer...
Katika muendelezo wa wababe katika viumbe leo hii tunawakutanisha wafalme wakali wawili kutoka barani Afrika. Je, ni nani ana advantages kubwa kumshinda mwenzake?
The king of the jungle or the dangerous Gollila nani atashinda pambano hili?
Simba na Sokwe/gollila karibu wote wanakuwa na uzito...
Timu mbili kutoka Nchi marafiki, Afrika Kusini na Tanzania zinakutana leo Jumamosi ya Mei 15, 2021 kwenye uwanja wa kwanza Afrika kuchezwa fainali za Kombe la Dunia, ambapo Kaizer Chiefs wanakabiliana na Simba SC katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika, mchezo...
Leo timu yetu ya Tanzania itapeperusha bendera ya Tanzania huko Afrika ya kusini na dunia yote itatazama. Tutumie uzi huu kuitakia ushindi Simba dhidi ya Kaizer chiefs.
Naitakia Simba ushindi wa kishindo!! Karibuni.
Kaizer Chiefs vs Simba match on TV but NOT every fan will get to watch it!
Kaizer Chiefs fans will get to watch their team live on the South African Television for the first time in the CAF Champions League this season.
Amakhosi take on Simba SC of Tanzania in the first leg of Africa’s premier...
Kuna mchambuzi mmoja aliyejaribu kuleta presha na kutengeneza majungu akiamini kwa njia hiyo Simba itafanya lolote alitakalo.
Mchambuzi huyo aliyepachikwa jina la "taka taka" alihusika sana kumpotosha huyo kijana na kupelekea hadi hivi ninavyoandika hapa, huyo kijana hajulikani alipo na sina...
Mpaka muda huu kina generalist\all rounder na chizi maarifa wangekuwa wameshatupia nyuzi za kuiponda Simba na kuitabiria kushindwa!
Lakini naona kimyaaaa! Hii ni dalili kuwa hatimaye utopolo wamekubali matokeo kuwa Simba si saizi yao!
Naitakia Simba ushindi mnono huko kwenye nchi ya mzee Madiba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.