Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 23,011
- 32,907
Baada ya kufanya research Kwa muda mrefu nimekuja ku conclude kuwa hakuna timu rahisi kuiongoza kama Simba since mashabiki ni (mbumbumbu) sorry nmekosa tafsiri sahihi
Mangungu anahojiwa baada ya kukosa ubingwa yeye anajibu kuwa kwenye ligi hakuna fairness ....je alikuwa wapi ku take action
Baada ya Simba kuukosa ubingwa Viongozi, mashabiki wamekuja na kampeni ya kuilaumu TFF Kwamba yanga wanapendelewa ......Yani badala ya kewekeza nguvu sehemu Gani wamefeli kama timu....wenyewe wanatafuta unreasonable logic Kwa kujitetea eti yanga wamebebwa 😂😂😂
NB mkishindwa solve hyo puzzle......mwakani yanga bingwa tena
Mangungu anahojiwa baada ya kukosa ubingwa yeye anajibu kuwa kwenye ligi hakuna fairness ....je alikuwa wapi ku take action
Baada ya Simba kuukosa ubingwa Viongozi, mashabiki wamekuja na kampeni ya kuilaumu TFF Kwamba yanga wanapendelewa ......Yani badala ya kewekeza nguvu sehemu Gani wamefeli kama timu....wenyewe wanatafuta unreasonable logic Kwa kujitetea eti yanga wamebebwa 😂😂😂
NB mkishindwa solve hyo puzzle......mwakani yanga bingwa tena
