Emmanuel Mwayombo,a.k.a mpekeo mtandala,mwandishi wa majini,kawaumbua simba.Anasema ameongea na timu inayommiliki eno loemba ya cameroun inadai fedha za kuuzwa kwa loemba,na deadline imepita simba hawajalipa hata senti na wakati wowote,watawapeleka fifa.H ha ha ha