Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,181
- 17,653
Mechi ya kiporo ya TRA SC dhidi ya Simba SC inatarajiwa kupigwa jioni saa 10:00 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Stadium, ikiwa ni sehemu ya mashindano ya NBC Premier League, ambapo timu zote zinatarajia kuonesha ushindani mkali kusaka alama 3 muhimu.
Kikosi cha TRA United SC
Kikosi cha Mnyama
Mechi imemalizika bila mbabe huku Mnyama akiendelea kujiweka mbali na mbio za Ubingwa msimu huu.
Kikosi cha TRA United SC
Kikosi cha Mnyama
Mechi imemalizika bila mbabe huku Mnyama akiendelea kujiweka mbali na mbio za Ubingwa msimu huu.