Simba tuache kuwajaza ujinga wachezaji wetu

Simba tuache kuwajaza ujinga wachezaji wetu

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
17,305
Reaction score
24,210
Hii tabia imekuwepo muda mrefu sana, kuna kipindi Mkude alikuwa akisifiwa sana wakati yeye alikuwa chanzo cha makosa mengi, walimsifia mpaka viongozi wakawa wanaogopa kumwacha kwa kuwaogopa mashabiki.

Baadae akaja Shabalala pamoja na magoli mengi yalikuwa yanatokea kwake bado mashabiki wakaendelea kumpamba mpaka uongozi kila ukileta mchezaji anaonekana hafai, akaja Chama masifa mengi sasa hivi karudi amechoka ukiacha mechi na Azam aliyotolewa nyingi anabaki hadi mwisho wakati pumzi aliyonayo si ya kucheza muda wote.

Aliposajiliwa Libase Gueye wakaanza kumponda Mpanzu na tatizo hilo limehamia kwa Kibabage akicheza anacheza na jukwaa kiasi anapotakiwa kupiga pasi hapigi, anajiona muda mwingi anapaswa kushambulia matojeo yake sehemu yake inabaki wazi kulazimisha muda mwingi mabeki wa kati kucheza eneo lake.

Wa mwisho ni Kagoma, amekuwa akifanya makosa mengi hasa anapoanzishiwa mpira na kipa option yake ni kurudisha nyima na anaponyang'anywa anakimbilia kucheza rafu ila mashabiki ndio wanaongoza kumsifia matokeo yakr anashindwa kurekebisha mapungufu yake.
 
Ktk mazingira kama haya.....
FB_IMG_1769600439146.jpg

Hata wewe mleta mada ungefanyaje?maana wanaona kazi wanaifanya so sifa ni haki yao.
 
Hii tabia imekuwepo muda mrefu sana, kuna kipindi Mkude alikuwa akisifiwa sana wakati yeye alikuwa chanzo cha makosa mengi, walimsifia mpaka viongozi wakawa wanaogopa kumwacha kwa kuwaogopa mashabiki.

Baadae akaja Shabalala pamoja na magoli mengi yalikuwa yanatokea kwake bado mashabiki wakaendelea kumpamba mpaka uongozi kila ukileta mchezaji anaonekana hafai, akaja Chama masifa mengi sasa hivi karudi amechoka ukiacha mechi na Azam aliyotolewa nyingi anabaki hadi mwisho wakati pumzi aliyonayo si ya kucheza muda wote.

Aliposajiliwa Libase Gueye wakaanza kumponda Mpanzu na tatizo hilo limehamia kwa Kibabage akicheza anacheza na jukwaa kiasi anapotakiwa kupiga pasi hapigi, anajiona muda mwingi anapaswa kushambulia matojeo yake sehemu yake inabaki wazi kulazimisha muda mwingi mabeki wa kati kucheza eneo lake.

Wa mwisho ni Kagoma, amekuwa akifanya makosa mengi hasa anapoanzishiwa mpira na kipa option yake ni kurudisha nyima na anaponyang'anywa anakimbilia kucheza rafu ila mashabiki ndio wanaongoza kumsifia matokeo yakr anashindwa kurekebisha mapungufu yake.
Nafasi ipi unataka, Team Manager au Coach???
 
Ahmed Ally anachofanya sio professional kabisa....to much overrating kwa players....ni kama wafu wanafurahia hizo comedy lakini inawafanya akina GUEYYE, AURA, LOEMBA, MAURICE, MPANZU hawatulii bali kutaka ku prove individually
 
Hayo matatizo yamesababishwa na viongozi wa Simba, hawajui ukubwa wa timu. Kwanini marefa walewale waendelee kuidhulumu Simba kana kwamba Simba sio timu kubwa.
Simba imewekeza sana kwenye propaganda! Unazikumbuka zile story za GSM na kudhamini timu mbali mbali?
Unakumbuka story za Hawa wachezaji wapya? Watawchwa wale
 
Hii tabia imekuwepo muda mrefu sana, kuna kipindi Mkude alikuwa akisifiwa sana wakati yeye alikuwa chanzo cha makosa mengi, walimsifia mpaka viongozi wakawa wanaogopa kumwacha kwa kuwaogopa mashabiki.

Baadae akaja Shabalala pamoja na magoli mengi yalikuwa yanatokea kwake bado mashabiki wakaendelea kumpamba mpaka uongozi kila ukileta mchezaji anaonekana hafai, akaja Chama masifa mengi sasa hivi karudi amechoka ukiacha mechi na Azam aliyotolewa nyingi anabaki hadi mwisho wakati pumzi aliyonayo si ya kucheza muda wote.

Aliposajiliwa Libase Gueye wakaanza kumponda Mpanzu na tatizo hilo limehamia kwa Kibabage akicheza anacheza na jukwaa kiasi anapotakiwa kupiga pasi hapigi, anajiona muda mwingi anapaswa kushambulia matojeo yake sehemu yake inabaki wazi kulazimisha muda mwingi mabeki wa kati kucheza eneo lake.

Wa mwisho ni Kagoma, amekuwa akifanya makosa mengi hasa anapoanzishiwa mpira na kipa option yake ni kurudisha nyima na anaponyang'anywa anakimbilia kucheza rafu ila mashabiki ndio wanaongoza kumsifia matokeo yakr anashindwa kurekebisha mapungufu yake.
Inahusiana sana tu
 
Hii tabia imekuwepo muda mrefu sana, kuna kipindi Mkude alikuwa akisifiwa sana wakati yeye alikuwa chanzo cha makosa mengi, walimsifia mpaka viongozi wakawa wanaogopa kumwacha kwa kuwaogopa mashabiki.

Baadae akaja Shabalala pamoja na magoli mengi yalikuwa yanatokea kwake bado mashabiki wakaendelea kumpamba mpaka uongozi kila ukileta mchezaji anaonekana hafai, akaja Chama masifa mengi sasa hivi karudi amechoka ukiacha mechi na Azam aliyotolewa nyingi anabaki hadi mwisho wakati pumzi aliyonayo si ya kucheza muda wote.

Aliposajiliwa Libase Gueye wakaanza kumponda Mpanzu na tatizo hilo limehamia kwa Kibabage akicheza anacheza na jukwaa kiasi anapotakiwa kupiga pasi hapigi, anajiona muda mwingi anapaswa kushambulia matojeo yake sehemu yake inabaki wazi kulazimisha muda mwingi mabeki wa kati kucheza eneo lake.

Wa mwisho ni Kagoma, amekuwa akifanya makosa mengi hasa anapoanzishiwa mpira na kipa option yake ni kurudisha nyima na anaponyang'anywa anakimbilia kucheza rafu ila mashabiki ndio wanaongoza kumsifia matokeo yakr anashindwa kurekebisha mapungufu yake.
Kosa kubwa la kagoma hafanyi scanning kabla haja receive mpira kitu kinachomfanya anarudisha nyuma mpira akifanyiwa pressing muangalie feisal salum yule ni complete player ana scan ana nyanyua kichwa kabla na baada ya kupewa mpira.
 
Back
Top Bottom