Emmanuel Mwayombo kawaumbua Simba

Emmanuel Mwayombo kawaumbua Simba

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,286
Reaction score
8,562
Emmanuel Mwayombo,a.k.a mpekeo mtandala,mwandishi wa majini,kawaumbua simba.Anasema ameongea na timu inayommiliki eno loemba ya cameroun inadai fedha za kuuzwa kwa loemba,na deadline imepita simba hawajalipa hata senti na wakati wowote,watawapeleka fifa.H ha ha ha
 
Back
Top Bottom