DogoWaNjombe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,251
- 7,655
Wakati msafara wa timu ya Simba SC ukiingia uwanjani majira ya Saa 8:30 Mchana wa leo Aprili 9, 2026 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kuna hali ya sintofahamu kati ya wanaodhaniwa kuwa ni “Makomandoo” na walinzi wa uwanja, hali ambayo imesababisha kuvutana mashati na kuchapana Makonde.
Askari Polisi waliingilia kuwatuliza na bado sababu au chanzo cha sekeseke hilo hakija julikana wazi. Simba inakipiga dhidi ya TRA United.
Video: Olakajr Sports
Askari Polisi waliingilia kuwatuliza na bado sababu au chanzo cha sekeseke hilo hakija julikana wazi. Simba inakipiga dhidi ya TRA United.