Siku (born 22 November 2011 in Skandinavisk Dyrepark) is a male polar bear cub, he has several siblings such as Sné. After his mother failed to produce enough milk to feed him, he was taken into care in the Scandinavian Wildlife Park in Denmark.In terms of popular appeal, he is by some considered to be a possible successor to the polar bear Knut, who attracted worldwide attention at Berlin Zoo from 2006 until his death in 2011. A YouTube video showing Siku at the age of one month attracted hundreds of thousands of hits in just twenty-four hours and he was hailed internationally as an online sensation, especially after appearing on the official BBC website.
Na Emmanuel J. Shilatu
Napenda kuungana na Mamilioni ya Watanzania kusherehekea maadhimisho ya siku 100 tangu Mhe. Samia Suluhu Hassan ale kiapo Machi 19, 2021 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni siku zilizojaa maajabu, matumaini na mwangaza kwa Taifa letu.
Nitagusia baadhi ya...
SIKU 100 ZA MHE SAMIA RAIS WA TANZANIA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Mara nyingi duniani Viongozi wa nchi huanza kupimwa utumishi wao kwa kipindindi Cha siku mia moja. Lakini siyo sheria wala kanuni ni utaratibu tu ambao watu wanadhani unaweza kuwasaidia kujua uwezo wa kiongozi wao kuelekea...
Siku 100 za Rais Mama Samia Suluhu nimeziadhimisha kwakufanya uchambuzi kwa mahojiano ya Radio, Kuhusu Hali ya Kijamii, Kisiasa, Kiuchumi, na kuhusu vuguvugu la Katiba Mpya.
Sikiliza mwanzo hadi mwisho!
Mama katimiza siku 100 madarakani baada ya kifo cha Magufuli
Ukiachana na kicheko kwa wafanyakazi weka tathmini yako ya haki hapa
Alikopatia
Alikokosea
Alikochapia
Alikozembea
Alikokurupuka
Weka projection yako na ushauri wako kwake. Anatusoma a ametuasa tusikosoe tu na kujibishana mitandaoni...
Ni dhahili mh. Rais ameamua kuuzima mjadala kwa makusudi wa kudiscuss Siku mia moja katika ofisi ya jumba jeupe.
Bila shaka katika kuelekea siku 100 kwenye madaraka mh rais ameamua kutangaza mkeka wake wa madc ili tujikite kuujadili badala ya kudiscuss utendaji wake ndani ya Siku 100.
Kwanini...
Habari wanajukwaa. Imekuwa ni kawaida kwa Kiongozi Mkuu wa nchi hasa nchi zinzotumia title ya Raisi, kama hii ya kwetu, kutumia kigezo cha siku 100 za kwanza za Raisi kuwa Ikulu kufanyiwa tathimi ya utendaji kazi wake.
Wachambuzi wa mambo ya siasa, wasomi, wanazuoni na Wananchi wa kawaida...
NDANI YA SIKU 100, RAIS SAMIA AMEFANYA MAMBO MAKUBWA
Wanaandika Ndugu Twahir Abasi Kiobya na Denis Shanyangi
Kama kuna jambo lolote linalonipa amani na Faraja kwenye nafsi yangu katika siku 100 zilizopita, basi ni kuona kuwa tuna rais wa aina ya Mama Samia Suluhu Hassan.
1. Ndani ya siku 100...
Habari wanaJF,
Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi
Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.