Hiyo ndio option pekee iliyobaki maana kusukuma gari haitawezekanaUkweli ni kuwa hakuna safari hapo na matokeo yake abiria watashuka kuungana na fundi.
Dereva c amesema atafika.? Muacheni dereva yeye analijua gari lakeUkweli ni kuwa hakuna safari hapo na matokeo yake abiria watashuka kuungana na fundi.
Abiria wenyewe hao waliotoa meno kama mazimwi hawajali, hata limepaki wao wanaona kama speed ni 120. Mungu alileta binadamu wa ajabu sana Tanganyika hii.Ukweli ni kuwa hakuna safari hapo na matokeo yake abiria watashuka kuungana na fundi.
Wakati akihutubia kwa Mara ya kwanza akiwa Rais alisikika akisema watu waangalie mbele kwa matumaini, ila kwa kuja na kauli za kusubirisubiri mie naona kama matumaini ya katiba mpya hayapo hivi. Ingawa kama kuna jambo historia ingemkumbuka ni kuimarisha hiyo katiba. Maana Bila hiyo katiba ambayo wengine walikaa chini bila kuahirisha, kwayo yeye imemruhusu akawa Rais.Ukweli ni kuwa hakuna safari hapo na matokeo yake abiria watashuka kuungana na fundi.
Ni fundi tu ndiye anaewaza kubadilisha tairi lakini dereva na abiria hawawazi hilo.Abiria wenyewe hao waliotoa meno kama mazimwi hawajali, hata limepaki wao wanaona kama speed ni 120. Mungu alileta binadamu wa ajabu sana Tanganyika hii.
Hizo gari ni zile chai mahalege za kule nzenji.hao abiria huwaga wala hawana shida,hata kama gari ikakaa hapo siku kumi wao waridhika tuuu.
Sisi wengine tulitahadharisha mapema kuwa like her predecessors, huyu naye hana jipya atakaloleta. Wengi tuliotahadharisha tuliitwa MATAGA, hata kama the late JPM tulikuwa tukipinga mambo yake kwa sauti. Tuliwatahadharisha watu kuwa waache kuwa wasahaulifu. These are just sparks, consuming flames are underway in the tunnelNi fundi tu ndiye anaewaza kubadilisha tairi lakini dereva na abiria hawawazi hilo.