Serikali mkoani Kagera imeanza operesheni maalumu ya kukagua na kuchunguza shule za msingi na sekondari za serikali na binafsi ili kubaini walimu wakuu na wamiliki wa shule wanaokiuka kanuni za afya na usalama wa wanafunzi.
Operesheni hiyo inalenga kubaini shule zenye dosari katika miundombinu...
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa ACT Wazalendo Janeth Rithe amesema Chama chao kimedhamiria kushiriki uchaguzi na kulinda kura zao kwakuwa wana dhamira ya dhati ya kuwatumikia watanzania kwa kuborsha elimu ambayo kwa sasa inatolewa kwa matabaka
Soma pia...
Tangu nikiwa mtoto wa daasa la tano nimekuwa nikisikia uwepo wa shule za vipaji maalumu yaani kwa wanafunzi wanaodhaniwa kuwa na upeo mkubwa wa akili, binafsi Mungu alinijaalia kusoma mojaya shule hizo mkoani Morogoro{Mzumbe} na kidato cha tano na sita (kibaha sec) , na kwa sasa nipo chuo...
Habari wakuu .
Mimi ni Mwalimu ambaye nafundisha kuanzia Kindergarten mpaka form six .
Kama upo na Shule ambayo unahitaji kuikuza kupitia Mwalimu competent .
Uwezo wangu upo katika haya maeneo .
Kufundisha
Kufanya mentoring
Kuwashawishi wazazi ili wawalete wanafunzi kujiunga katika shule...
Wanafunzi wenye mahitaji maalum katika shule ya msingi Sima A iliyopo katika Hamlashauri ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu wamepatiwa misaada mbalimbali kwa matumizi ya shule
Misaada hiyo imetolewa na waendesha baiskeli kutoka Dar Es Salaam kuelekea wilaya ya Butiama mkoa wa Mara kwa lengo ni...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita imemkuta na hatia na kumuhukumu kifungo cha maisha Mwalimu wa Shule ya Msingi Waja, Josephat Masenema Shikome kwa kosa la kumuigilia kinyume na maumbile Mwanafunzi wake wa Darasa la Tatu mwenye umri wa Miaka 7, kinyume na kifungu cha 154(1)(a) na (2) cha Kanuni ya...
Dar es salaam sasa nina mwaka wa 11, mwaka huu unatia fora kwa baridi kali.
Haya nyie wanajiografia mniambie je, kiwango cha upandaji miti Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla kimekuwa kikubwa zaidi mwaka huu?
Malori ya mkaa kutoka mkoa wa Pwani ambako kuna miti na misitu mingi yako mengi sana...
Habari
Rejea SoMo hapo juu kuhusu hii shule.
Wanafunzi wanapopangwa shule za serikali baada ya matokeo darasa la Saba kuna makundi haya.
1. Vipaji maalumu
2. Mbweni
3. Teule
4. Kitaifa
Ufafanuzi je JOKATE MWEGELO SECONDARY SCHOOL inaangukia kundi lip?
Naomba ufafanuzi
Wakuu
Haya sasa matokeo ya kidato cha 6 yametoka rasmi. Kama kawaida ufaulu umeongezeka
Matokeo yote yanapatikana kupitia tovuti ya NECTA au unaweza kwenda moja kwa moja kupitia link
Matokeo Ya Kidato Cha 6 Mwaka 2025
ENEO LA SHULE LENYE MICHEZO YA WATOTO LINAKODISHWA/KUUZWA
Eneo la Shule lenye Madarasa kwa ajili ya DAY CARE & NURSERY LINAKODISHWA AU KUUZWA kwa mteja yeyote mwenye uhitaji wa kununua.
Eneo hili lenye Ukubwa wa takribani Ekari 2, lipo Dar esalaam Matosa, Goba na lina Madarasa 4,Nyumba 1 ya...
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini, Vodacom Tanzania PLC, George Venanty (kushoto) akimkabidhi kiti mwendo mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkata ambapo pia walikabidhi matundu ya choo 10, magodoro 40, vitanda 20 na viti mwendo 47 kwa shule hiyo ikiwa ni sehemu ya shughuli zinazofanywa katika...
Trumark Stationery & Books ni wakala wa vitabu vyote vya shule vya mtaala mpya.
Ukinunua vitabu kwa wakala una uwezo mkubwa wa kupata punguzo la bei.
Vitabu kuanzia shule ya awali, msingi na Sekondari.
Vitabu vyote vya darasani na mazoezi.
Popote ulipo Tanzania tunakuletea.
Tupigie
0765...
Sasa tupo mahala si salama kama shule inaweza kufutwa kwa ajili ya mwekezaji.
Inaanza kuwa new normal . Years back mwekezaji binafsi alijipa jukumu la kufanya tathmini ya nyumba za watu binafsi vingunguti jijini ,Lukuvi akiwa ardhi chini ya magufuli zoezi lilifutwa na baada ya awamu hiyo...
Wakuu Mimi ni Mwalimu ambaye nimesomea kufundisha Kiswahili na kiingereza.
Natafuta Shule ya kufundisha kwa maeneo ya Zanzibar Unguja au Pemba.
Kwa upande wa primary naweza kufundisha vilevile kwa upande wa secondary.
Masomo ya social studies yote.
History
Civics
Kiswahili
English...
Kama unamiliki taasisi ya afya, maabara, kiwanda, chuo kikuu, au unahusika na huduma za matibabu ya maji(water treatment)— Alphacia Limited ni chaguo sahihi kwako
Tunahusika na usambazaji wa:
🧪 Reagents za Maabara (Lab Reagents)
🔬 Vifaa vya Maabara (Lab Equipment & Instruments)
⚗️ Kemikali za...
Walio sema Shule ni Ufunguo wa Maisha wametupiga na kitu kizito
Kama ni kweli mbona wasomi wengi bado wanahangaika na Maisha?
Sahihi ni kusema Shule ni Ufunguo wa Maarifa
Ni hayo tu!
"TRUMP JUST NOW: “ISRAEL was REALLY HIT HARD. Boy, those ballistic missiles took out a lot of buildings!”
...ikiwa alisema kwa dhihaka (sarcastically), basi ni kweli — ni mzaha wa kejeli kwa Iran, na inaonekana kulenga kubeza au kupuuza mafanikio ya shambulizi la Iran dhidi ya Israel.
🧠...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.