Mimi sio nabii ila kesho utaona nyuzi za yesu alikuwa ni mpalestina na christmas ni sherehe ya majini

Mimi sio nabii ila kesho utaona nyuzi za yesu alikuwa ni mpalestina na christmas ni sherehe ya majini

Watajua wenyewe!

Kama mtu akiongea hivyo hanitoi damu wala hanitii njaa yangu yanaenda itanisumbua nini?wakati mwengine ni umaskini tu hutufanya hata tukaanza kuhojiana vitu visivyotuhusu.
 
Anaesema hivyo yeye mwenyewe anasubiria mto wa mvinyo na wanawake 90 huko peponi 😂😂
20251217_071726.jpg
 
Watajua wenyewe!

Kama mtu akiongea hivyo hanitoi damu wala hanitii njaa yangu yanaenda itanisumbua nini?wakati mwengine ni umaskini tu hutufanya hata tukaanza kuhojiana vitu visivyotuhusu.
💯💯💯
 
Nadhani siku ya Mwisho kila mtu atabaki mdomo wazi, Picha linaanza siku ya kusali ni j4 sio jumapili ya makafiri, wala ijumaa ya wavaa kobaz, wala jumamosi ya Wasio kula iambale
 
Nadhani siku ya Mwisho kila mtu atabaki mdomo wazi, Picha linaanza siku ya kusali ni j4 sio jumapili ya makafiri, wala ijumaa ya wavaa kobaz, wala jumamosi ya Wasio kula iambale
Usali siku ya mwisho!?..hivi nyie mnayachukulia vipi maisha ya dunia,ibada na siku ya mwisho!?.. yaani siku ya hukumu usali!!
 
Back
Top Bottom