Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 24,839
- 33,532
Kulingana na taarifa za maandamano ya amani zilizopangwa kufanyika 9 december , je siku hiyo sherehe hizi zitafanyika kweli?
Tunajua vyombo vya usalama asilimia kubwa huwa vipo pale uwanja wa taifa kusherehekea sherehe hizi na maigizo yao ya kuvunja matofali kwa vichwa, hii inapelekea maeneo mengi kupelea hivyo inaleta urahisi kwa waandamanaji kuandamana watakavyo.
Sasa je , jamaa watavunja sherehe zao kukabiliana na waandamaji au wataendelea tu kama kawaida ila kwa uangalifu mkubwa au je wataazima jeshi la nchi jirani waje wawaangamize waandamanaji?
Nchi bado haijakaa stable mpaka sasa.
Tunajua vyombo vya usalama asilimia kubwa huwa vipo pale uwanja wa taifa kusherehekea sherehe hizi na maigizo yao ya kuvunja matofali kwa vichwa, hii inapelekea maeneo mengi kupelea hivyo inaleta urahisi kwa waandamanaji kuandamana watakavyo.
Sasa je , jamaa watavunja sherehe zao kukabiliana na waandamaji au wataendelea tu kama kawaida ila kwa uangalifu mkubwa au je wataazima jeshi la nchi jirani waje wawaangamize waandamanaji?
Nchi bado haijakaa stable mpaka sasa.