Mkakati wa shamba lenye madini

Mkakati wa shamba lenye madini

firstman

New Member
Joined
Jun 21, 2026
Posts
4
Reaction score
1
Habari za muda huu wadau,
bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja, kuna shamba la familia yangu ambalo lina madini, yaliibuka tu gafla na watu wakaanza uchimbaji baada ya muda kama mwezi tuliwasitisha watu kuendeleza shughuli kwenye hilo eneo letu.

Kwa leo nimekuja nipate abc ya namna ya kuanzisha mgodi japo baadhi ya hatua nazijua ila kulingana na muda kupita eneo hilo bila kuendeleza shughuli za uchimbaji nahitaji msaada wa vitu vifuatavyo;

1. Mwenye mashine ya kupima madini (mineral ditector bila shaka zinaitwa hvyo) na gharana za upimaji anambie

2. Mwekezaji mwenza mwenye mtaji ambae tutashirikiana nae na tutaweka mambo yote katika mkataba wa ushirikiano na mgawanyo wa faida na uendeshaji. Eneo lipo mkoa wa mara kijiji (x)

Aliye tayari aje inbox
Pia mwenye maswali namruhusu,
Karibuni wadau ukumbi uko wazi.
 

Attachments

  • IMG_20241214_082540_510.jpg
    IMG_20241214_082540_510.jpg
    957.9 KB · Views: 8
  • IMG_20241214_082555_726.jpg
    IMG_20241214_082555_726.jpg
    926.1 KB · Views: 9
Hapa unaikwepa vipi serikali yenye ardhi, malizana na serikali kwanza
 
Tena fanya haraka lakatie leseni hilo shamba, bila hivyo utalipoteza unaona hivi...nasisitiza tena fanya haraka.

leseni ni gharama ndogo sana.
utanyang'anywa na watu wenye tamaa na Serikali ipo na isikusaidie.

Kuna ile mineral act ya 2006 sura na 123 ndiyo watakayoitumia.
 
Umeandika na kupotea!!!

Shamba lak/lenu halina dhahabu mura zingekuwepo usingeweza kuwazuia watu kuchimba, kisheria huna huo uwezo.

1. Kama zahabu nazan n za kawaida tu labda baadae zitalipuka. Fanya mpango upate leseni kama unataka uchimbe pekeako.

2. Mwekezaji huwezi kupata kirahisi, hadi pawake hasa watakufata wenyewe ukiwa na leseni yako. Dhahabu iliyopo hapo ni vikore ama pure gold hizo hua zimekaa mbali mbali so kupata mwekezaj ni kazi.

3. Huko kwenu sijui mnafanyaje ila kama unataka mashine/kipimo bora ununue yako maana hizo mashine hua hazilipwi kesh bali zinakua na asilima 10/20/30 au hata pasu kutegemeana na makubaliano.

Mfano ukimpata mtu aje kua anakupimia ,(ku dtect gold),halafu mkapata milion moja, huyo mpimaji atachukua laki moja au mbili au tatu. Kipimo kinauzwa kidogo kipya kinauzws mmilion mbili hadi tatu (fisher na gold monstor). Wakati mashine/kipmo kikubwa huuzwa (gp 5000 million 8 na gp6000 milion16 hadi 20). Fisher na monsta used utapata had kwa 1m. Ukiwa na chako n vzur utafanya kaz bila presha..

4. Ukipata kipmo/mashne, ruhusu watu wachimbe. Dhahabu ikipatikana mgao unakua hv,

WEWE (SHAMBA) 30%

KIPIMO 20%

WACHIMBAJI 50%

Kama kipimo ni chako utakua unapata50% na hapo mpimaji uwe wewe mwenyewe. Kama utaajiri mpimaji maana yake utakua unamlipa 1% ya % ya kipimo yaani mtakua mnaigawana pasu hela ya kipimo.

5. Nunua mzani /scale ndogo ya kupimia uzito wa dhahabu halafu tafta mtaji hata wa milion1 ili wewe mwenyw ndo uwe unaznunua dhahabu na kwenda kuziuza utapata faida maradufu.



NB niliyokuambia yote nayafanya.
 
Tena fanya haraka lakatie leseni hilo shamba, bila hivyo utalipoteza unaona hivi...nasisitiza tena fanya haraka.

leseni ni gharama ndogo sana.
utanyang'anywa na watu wenye tamaa na Serikali ipo na isikusaidie.

Kuna ile mineral act ya 2006 sura na 123 ndiyo watakayoitumia.
Asante sana kwa ushaur mkuu
 
Umeandika na kupotea!!!

Shamba lak/lenu halina dhahabu mura zingekuwepo usingeweza kuwazuia watu kuchimba, kisheria huna huo uwezo.

1. Kama zahabu nazan n za kawaida tu labda baadae zitalipuka. Fanya mpango upate leseni kama unataka uchimbe pekeako.

2. Mwekezaji huwezi kupata kirahisi, hadi pawake hasa watakufata wenyewe ukiwa na leseni yako. Dhahabu iliyopo hapo ni vikore ama pure gold hizo hua zimekaa mbali mbali so kupata mwekezaj ni kazi.

3. Huko kwenu sijui mnafanyaje ila kama unataka mashine/kipimo bora ununue yako maana hizo mashine hua hazilipwi kesh bali zinakua na asilima 10/20/30 au hata pasu kutegemeana na makubaliano.

Mfano ukimpata mtu aje kua anakupimia ,(ku dtect gold),halafu mkapata milion moja, huyo mpimaji atachukua laki moja au mbili au tatu. Kipimo kinauzwa kidogo kipya kinauzws mmilion mbili hadi tatu (fisher na gold monstor). Wakati mashine/kipmo kikubwa huuzwa (gp 5000 million 8 na gp6000 milion16 hadi 20). Fisher na monsta used utapata had kwa 1m. Ukiwa na chako n vzur utafanya kaz bila presha..

4. Ukipata kipmo/mashne, ruhusu watu wachimbe. Dhahabu ikipatikana mgao unakua hv,

WEWE (SHAMBA) 30%

KIPIMO 20%

WACHIMBAJI 50%

Kama kipimo ni chako utakua unapata50% na hapo mpimaji uwe wewe mwenyewe. Kama utaajiri mpimaji maana yake utakua unamlipa 1% ya % ya kipimo yaani mtakua mnaigawana pasu hela ya kipimo.

5. Nunua mzani /scale ndogo ya kupimia uzito wa dhahabu halafu tafta mtaji hata wa milion1 ili wewe mwenyw ndo uwe unaznunua dhahabu na kwenda kuziuza utapata faida maradufu.



NB niliyokuambia yote nayafanya.
Asante sana mkuu nimepata mwanga sasa
 
Back
Top Bottom