Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 14,723
- 21,099
Karibu wanaJf, Shamba linauzwa Nzogole,Mpakani mwa Bahi na Dodoma mjini.Lina ekari 2.4,lakini nimechukulia kama ekari2!
Linafaa Kwa kupima viwanja, Kulima Mtama,Alizeti,Ufuta nk .
Ni ukanda pia wa madini ya dhahabu Kuna machimbo huko.
Karibuni sana.
Linafaa Kwa kupima viwanja, Kulima Mtama,Alizeti,Ufuta nk .
Ni ukanda pia wa madini ya dhahabu Kuna machimbo huko.
Karibuni sana.