Leo nimewaza na kuwazua, sikupata jibu: dola ni nini?
Je, ni mkusanyiko wa viongozi na wananchi au ni viongozi peke yao?
Kazi ya dola ni nini? Kujilinda au kulinda wengine?
Wajibu wa raia kwa dola ni nini—kuitii, kuiogopa na kujinyongesha au kuna namna nyingine?
Au dola ndiyo majeshi, au...