1. Wakiacha kujilipa mishahara mikubwa na posho za vikao na safari, kisha kuelekeza fedha walizostahili zikatengeneze huduma za kijamii. Hakuna ukweli kwamba wao wanalipiwa nyumba, posho, mishahara na marupu rupu kibao then tuwaite wazalendo. Wao wanakula zaidi kuliko sisi?
2. Siku watoto wao...