serikali

  1. Kiranja Mkuu

    Serikali iikataze Yanga kutumia alama ya Mwenge, inaudhalilisha

    Serikali ni lazima iikaripie Yanga na kuilazimisha kuondoa alama ya Mwenge kwenye logo ya club hiyo. Ni aibu, tunasema Mwenge umulike mpaka nje ya mipaka yetu, lakini Yanga wamekuwa wakienda ugenini na kuwaomba wageni wauzime kwa dharau na aibu. Yanga ni club inayogongwa kimasihara kila...
  2. Allen Kilewella

    Kila Rais toka CCM humuachia mwingine Serikali mbovu?

    Mbali ya kwamba ni tabia ya wana CCM kuwatukuza viongozi wa chama chao au wale wanaoongoza Serikali kutokea kwenye chama hicho, lakini imekuwa ni kawaida ya Marais ama wasaidizi/wapambe wao toka chama hicho, kuongea maneno kuashiria kwamba Rais aliyetangulia amemuachia mzigo mzito wa kurekebisha...
  3. Meneja Wa Makampuni

    Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

    Katika kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, serikali yetu itakuja na utaratibu wa kumruhusu mteja kuinunua gesi kwa bei ndogo kulingana na mahitaji yake. Kwa sasa wengi wanashindwa kumudu kutokana na gharama kubwa zilizopo, hivyo mchakato wa kuzipunguza unaelekea mwishoni ili kulifanyia...
  4. J

    Chadema yaitaka Serikali kueleza imejipangaje kukabiliana na baa la njaa na bei kali za vyakula

    Hii ndio Chadema Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika amesema Serikali inatakiwa ieleze ndani ya Bunge na Nje imejipangaje kukabiliana na baa la njaa linalokuja na bei kali za bidhaa zinazoongezea wananchi ugumu wa maisha Aidha Mnyika aliwataka polisi wamtajie kifungu cha Sheria...
  5. Komeo Lachuma

    Wakumbukwe Mashujaa wetu wa JF waliopumzika au kubanwa na Serikali

    Serikali inaweza kukubana ukawa bize kulitumikia taifa na kutusahau wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita malejendari kadhaa ambao waliwika katika majukwaa mbalimbali kipindi fulani. Naanza na hawa Makamanda; GuDume General Galadudu britanicca Malaria Sugu Baba Swalehe Kidukulilo Sky...
  6. Roving Journalist

    Prof. James Mdoe: Serikali itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini

    Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika leo katika viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam...
  7. C

    Kwanini Serikali iko kimya kuhusu utapeli wa Kalynda?

    Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu. Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii? Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
  8. Nyuki Mdogo

    Ninachokiona sasa hivi kwenye account ya Facebook ya Queen Darleen inasikitisha sana, Serikali imuwajibishe

    Huyu msanii wetu amepost kwenye facebook story, video za ajabu sana. Lengo lake nini? Anajiuza? Au ametumwa kutumahasisha tufanye visivyo sawa?
  9. BARD AI

    Rais Museveni asaini sheria ya mitandao, ukiikera Serikali jela miaka 5 na faini Tsh. Milioni 6

    Rais Yoweri Museveni amesaini Sheria ya Matumizi ya Mitandao yenye vifungu vya kuwabana watumiaji mitandao endapo watachapisha au kusambaza habari zinazoikera Serikali au watu binafsi. Sheria inatamka kuwa “Mtu yeyote anayetumia mitandao ya kijamii kuchapisha au kusambaza habari zilizopigwa...
  10. BARD AI

    Serikali yaagizwa kulipa Tsh. Bil 21.8 baada ya kupandisha bei elekezi ya Pamba

    Fedha hizo ni hasara iliyotokana na kushuka kwa bei ya kilo ya Pamba kwenye soko dunia mwaka 2019 kisha Serikali ikatangaza bei ibaki Tsh. 1,200 kutoka Tsh. 900 na kwamba Serikali itafidia hasara yote. Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), imesema Serikali iwajibike kulipa deni...
  11. Richard

    Waziri wa Fedha wa Uingereza, Kwasi Kwarteng ajiuzulu

    Breaking News: Waziri wa fedha wa Uingereza Kwasi Kwarteng amejiuzulu. Serikali ya Uingereza chini ya waziri mkuu Liz Truss na waziri wake wa fedha bwana Kwasi Kwateng ipo matatani kwa kushindwa kusimamia uzuri suala la uchumi. Taarifa mbalimbali zasema serikali hiyo imezidisha kiwango cha...
  12. Roving Journalist

    Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, imefanikiwa kuendesha mashauri ya madai na usuluhishi 6,043 kwa kipindi cha miaka 4

    OWMS YAENDESHA MASHAURI 6,043 YA MADAI NA USULUHISHI ❖ OWMS Yaiwakilisha Serikali Kwenye Mashauri ya Madai na Usuluhushi ❖ Yamaliza Migogoro na Wawekezaji, Wafanyabiashara kwa Njia ya Majadiliano Na Mwandishi Wetu, OWMS, Dodoma Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) imeendelea kuiwasilisha...
  13. DodomaTZ

    Serikali iangalie walimu wanaosimamia somo la Utafiti (Research) OPEN University, kuna mmoja ipo siku kitamkuta kitu

    Wanaosoma au waliohitimu Open University of Tanzania (OUT) pale makao makuu Kinondoni hasa Mass Communication na wale wa Journalism, wawe makini, kuna mwalimu ambaye jina lake la kwanza na la pili yanaanza na Yusuph M, nasisitiza wawe makini na huyo jamaa. Umri wake bado mdogo lakini ana...
  14. CORAL

    Mbwa azikwa kwa heshima zote za serikali nchini India

    Mbwa mmoja wa Polisi aitwaye Zanjeev amekuwa mbwa wa polisi nchini India kwa miaka mingi. Amewasaidia polisi kutatua kesi nyingi za jinai ambazo bila yeye wangeshindwa kuwatia hatiani wahalifu. Lakini tukio lililompa umaarufu mkubwa ni wakati magaidi toka Pakistan walipotega mabomu mjini...
  15. Shujaa Nduna

    Natoa wito kwa Serikali kufanya uchunguzi kwenye Makanisa

    Serikali ianzishe uchunguzi wa makanisa yote na madhehebu ili kubaini yale yenye ukwasi mzito kwa kuwarubuni waumini kupitia jina la Yesu wayafungiye au walipe mapato. Kama mmeweza kuruhusu makampuni ya michezo haramu ya kalyinda, crypto currency kwakuwa tu wamejisajili wakalipa ili wafanye...
  16. GENTAMYCINE

    Waziri wa Michezo Mchengerwa unavyosema Simba na Yanga sasa 'zitaitii' Serikali unajielewa Wewe?

    Hivi hapo Wizarani Kwako hakuna Watendaji waliokuzidi Akili ambazo huna ili wawe Wanakusaidia Kiushauri na usiwe Unakurupuka Kimaongezi? Waziri Mchengerwa nani alikudanganya kuwa Vilabu vya Simba na Yanga vinamilikiwa na vinasimamiwa na Serikali yako mpaka leo katika Hafla ya Kuwopongeza Tembo...
  17. S

    Baada ya sheria ya haki ya dhamana kupitishwa, Serikali iangalie suala la Polisi kuvizia kukamata mtu Ijumaa ili akae rumande hadi Jumatatu

    Tunashukuru kwamba serikali hatimae imesikiliza kilia cha wananchi cha siku nyingi juu ya kuweka watu mahabusu bila kuwapa haki yao ya dhamana. Udhaifu wa hili ulikuwa pande zote mbili, polisi na mahakama, kwa sababu mahakimu nao pia walikuwa wakiwaendekeza polisi kwa kuachia watu warudishwe...
  18. I

    Serikali iruhusu uingizwaji nchini mchele na sukari

    Kwa kupooza hii inflation iliyopo serikali iruhusu haraka kuingizwa kwa bidhaa hizo ili kutunusuru wananchi na hali mbaya ya bei za vyakula hasa nafaka. Ukifuatilia chanzo cha bei kupanda wanasema wafanyabiashara toka nje ndio wanaokuja kufuata mazao haya yaliwa huko vijijini na kusafirisha...
  19. fullcup

    Mfahamu jangili Chapuga aliyeitikisa Serikali miaka ya 2005- 2012

    Huyu jamaa stori zake hazifanani sana na akina Jombi ambao walikuwa wakitikisa Mbeya Mjini maana yeye alijikita porini. Alikuwa akifanya uwindaji haramu katika hifadhi ya Ruaha upande wa Mbarali akitokea kata Moja inaitwa Madibira. Huyu jamaa na wasaidizi wake walikuwa wakinyoa para (zungu)...
  20. polokwane

    Kuna haja ya kuwa na Mtehama Mkuu wa Serikali, mifumo mingi kimtandao ya Serikali inasumbua sana

    Mifumo mingi sana ya KITEHAMA ya serikali ya TANZANIA ni majanga makubwa na inafanya kaz chini ya kiwango kabisa kuanzia mifumo ya malipo yan TRA ,mifumo ya malipo ya huduma , mifumo ya taarifa na maeneo mengi yanayo tumia mifumo ya kitehama ni tatizo sana sana Nadhani kuna haja ya kuwa na...
Back
Top Bottom