1. Uchumi wa Tanzania umeendelea kuzorota siku hadi siku. Na sasa maisha ya wananchi wengi yako taabani.
2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.
3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.
4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.
5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.
6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa
2. Ni nini serikali imekosea hadi hali ya uchumi wetu kuwa taabani kuliko wakati wowote tokea uhuru.
3. Wakati wa mwalimu Nyerere vitu vilikosekana laki bei haikupanda siyo kwa bidhaa hata huduma pia.
4. Raisi Mkapa alituambia tufunge mikanda akuze uchumi. Na Wote ni mashahidi baada ya muda uchumi ulikua kweli na bei za bidhaa zote zilishuka.
5. Serikali ya Mkapa itakumbukwa kwa kuondoa kodi ya kichwa, tozo za mikokoteni na baiskeli, kufuta leseni za biashara. Ujenzi wa barabara za lami, daraja la mkapa, bunge, mkapa stadium, koboresha mishahara ya wafanyakazi nk.
6. Ni nini kimewakwamisha viongozi wa serikali ya awamu ya sita? Twafa