JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,462
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeweka picha hizi za MV Mwanza na kusema kuwa ndivyo hali ilivyo kufikia asubuhi ya Jumatano Januari 11, 2023:
Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?Wachaga watanuna mno kuona kanda ya ziwa inadhidi kupepea kimaendeleo, alikufa Magufuli wakashangilia sana
Kazi nzuri but ikiwa tayari ifanye kazi ipasavyo kwa ukanda wote wa ziwa kwenye bandari na uhitaji wa usafiri huo.
Mbona Moshi to bukoba ni lami mwanzo mwisho babu au Una lingine?Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
Una chuki na wachaga? Wewe na magufuli wako mlikuwa na chuki sana na wachaga ila hamtowaweza hata mfanyeje.Wachaga watanuna mno kuona kanda ya ziwa inadhidi kupepea kimaendeleo, alikufa Magufuli wakashangilia sana
Lami ipo mkuu.Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
YaaniJenezala ziwani
Sijui hapo ila meli huwa inatengenezwa sehemu ambayo maji yaningia na kutoka. Maanake ikikamilka wanaruhusu maji yaingie halafu meli inatoka.Sikuwahi kufikiria kwamba meli inajengwa ikiwa nchi kavu, siku zote nilidhani inajengewa majini.
Sasa hapo na uzito huo itaingizwaje ziwani
Wewe ni taahira nini?Huu upotevu mkubwa wa fedha za umma kukarabati meli mbovu na ya kizamani kama hii! Pia ni upotevu wa ajabu kujenga daraja la Kigogo-Busisi, bilioni 700?!!! Si tungejenga kilometer 700 za lami safi kutoka Moshi hadi Bukoba?
Naam na mimi nilifikiria kitu kama hicho ila ya hapa nimestaajabu ngoja tuone itakuwajeSijui hapo ila meli huwa inatengenezwa sehemu ambayo maji yaningia na kutoka. Maanake ikikamilka wanaruhusu maji yaingie halafu meli inatoka.
Ingia youtube ujionee,andika maneno mawili tu "ship launching"Sikuwahi kufikiria kwamba meli inajengwa ikiwa nchi kavu, siku zote nilidhani inajengewa majini.
Sasa hapo na uzito huo itaingizwaje ziwani
Punguzeni hasira...matusi ya niniWewe ni taahira nini?
Hii ni Meli mpya inajengwa na mkandarasi kampuni ya kikorea!
Na kwa kuwa hujui na hujawahi kufika Busisi,na hata umuhimu wake kiuchumi pia huwezi kuujua.
Unachokijua zaidi ni Ugoko wa mkeo au mamayo.
Na pia unachoweza zaidi ni kubofya bofya hiyo simu yako.