series

  1. Kingsmann

    The Last of Us Series Thread

    Naweza Kusema Kwa Umbali Mkubwa Sana Hii Ni The Best Videogame Ambayo Imewahi Kupelekwa Live-Action Na Kuwa TV-Series Kwenye Kiwango Bora Leo Tunaanza Na Episode Ya Kwanza Ijulikanayo Kama "When You’re Lost in the Darkness. PILOT Episode Ya Kwanza Inaanza Na Mazungumzo Ya Kwenye Televisheni...
  2. marehem x

    Mnaofuatilia series a Pogba simuoni oni

    Nimekuwa na kawaida kufuatilia wachezaji wetu pendwa lkn huyu cheusi Mangala simuoni oni wenzetu wa series a tubieni kajichimbia hospitali gani
  3. IBRA wa PILI

    Quuen of the south moja ya series Bora Sana itazame hii.

    Wakuu nimetazama hii series mwanzo mwisho kupitia simu yangu. Ukiona Hilo jina utasema inahusu wanyama labda, Kwa kweli ni series nzuri Sana inayo husu madawa ya kulevya mitifuano ya kufa mtu, kuzungukana ndio kabisa wapo na uhalisia kabisa na Mambo ya madawa hawa wa Mexico hii wamecheza. Mambo...
  4. Execute

    Kama hujaangalia La Casa de Papel (Money Heist) basi hujaona series bado

    Series hii imesheheni kila kitu: kiwango cha juu cha kufikiria na kutumia akili. Profesa alikuwa best leading character bila kumsahau tokyo na nairobi. Hapo sasa bado hujakutana na berlin, denver na palermo. Rio pamoja na kuwa vizuri kwenye IT lakini sikupenda utoto wake. Upande wa pili kuna...
  5. Zgerald95

    Wizi wa haki miliki za sanaa (movies and series) kukithiri Tanzania (copyrights infringements) ina maana Serikali haioni??

    Hivi karibuni kumetokea wimbi kubwa sana na uhalifu wa mtandaoni serikali ikishirikiana na jeshi la polisi, kwa pamoja wamechukua jitihada za wazi kupambana na tatizo hili. Lakini kuna tatizo sugu ambalo binafsi naona ni kosa kubla sana na serikali imelikalia kimya. Wizi wa haki miliki za sanaa...
  6. Abdallahking

    Bure Series

    Karibu ujisomee Simulizi Fupi zaidi ya 500 Bure Series
  7. NetMaster

    Series ipi nzuri kati ya Jack Reecher na Jack Ryan?

    NB: Sio movie, ni series yenye episodes.
  8. BARD AI

    Samsung yasitisha utengenezaji wa A7x Series zikiwemo A73, A74, A75 na kuendelea

    Kwa kawaida, toleo la simu za Galaxy A ambazo zinauza sana ni A5x. Lakini ripoti mpya zinaonyesha Galaxy A series zitaacha kuwa na toleo la A7x hivyo Galaxy A73 ndio simu ya mwisho kuwa na A7x. Galaxy A74 ambayo ilitegemewa kutoka mwakani haitakwepo hivyo toleo la A Series litabaki na A54...
  9. NetMaster

    Nitumie Plexi, showbox, Febbox au huduma ipi yenye uhakika na idadi kubwa ya movies / series ?

    Mwezi huu nataka nijipe kalikizo kidogo baada ya kuchoshwa na kazi ngumu za useremala kwa miezi 11 iliyopita, Ni muda wa kuchill atleast Najua wengi mtakimbilia kuniambia nishushe series kwa torrennts lakini amini usiamini si kila kitu kipo kwenye torrents, kuna series kibao kama za netflix na...
  10. YETU MOTORS CO LTD

    Car4Sale Tunatoa huduma ya kuagiza magari ya aina mbalimbali

    PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
  11. itakiamo

    Nishauri series gani niangalie

    Nimeangalia series zifuatazo 1. Game of Throne 2.Tyrant 3. Godfather of Harlem 4. Banshee 5. Ozark 6.Narcos 7.Elchapo 8. 24 jack Bauer 9.Rome 10.Breaking Bad Naomba mnitajie series nzuri zitakazoendana na hizo
  12. Prakatatumba abaabaabaa

    Baada ya muda mrefu nimekutana na vitabu vizuri sana vipitie

    Mwaka haujaisha lakini na recomend kwako acha kila kitu usome hichi kitabu, once nilikua sisomi vitabu mpaka nilipoanza kukisoma hichi sijawahi kupata kingine zaidi ya hichi, Kama kuna mtu anacho kitabu cha hivi cha story nzuri Kama hiki (based on try story) aseme hapa niongeze kwenye library...
  13. PureView zeiss

    The Terminal List: Hii ndiyo series yangu pendwa baada ya PRISON BREAK na 24

    Baadhi ya wadau walisifia Sana serial ya money heist nikaona isiwe taabu Acha niitafute nione kama hiyo ladha yake itafanana na prison break na 24 lakini cha ajabu humo ndani ilijaa ujinga mwingi na utoto nikaja na Uzi wangu juu ya hiyo movie ya kifala. Nimeangalia serial nyingi Ila bado Ile...
  14. Adlo

    Msaada: Naitafuta series ya Kikorea ya ‘The Duo’

    Habari Wana jukwaa, Nimejaribu kutafuta series ya the duo bila mafanikio ni Korean series ya pori Nimeingia sites kama nkiri, bila mafanikio, kwa mwenye anayejua site au njia rahisi ya kuipata msaada👏👏
  15. Z

    Leo nimemaliza kuiangalia BREAKING BAD. Hakuna series tamu kuliko hii duniani

    Aisee tafuta BREAKING BAD.bonge la dude
  16. Ok9

    Series ya STAMINA

    Wiki iliyopita stamina alitoa wimbo mmoja wa future wife. Hapa katk verse ya kwanza alikuwa anamwita aje popote alipo ila verse ya 2 alimwambia asubir kwaza mambo sio poa. Ila mwisho kaletewa bi dada na kapata mimba. Mwendelezo wa 2 STAMINA ft 🍌 banana zoro wimbo UKIZALIWA . wimbo huu...
  17. Samatime Magari

    NAITAMBULISHA Kwako Vitz ya Mjerumani BMW Series 1

    . BMW Series 1 [Coded E87] ni moja ya subcompact executive cars inayotengenezwa na BMW toka kwa 2004 ikitokana na BMW 3 Series Compact, Series 1 tunasema ni solid athletic design [ngumu yenye umbo la sport]... . Features za hii gari imeifanya kuwa moja ya gari ndogo nzuri imara na inayovutia...
  18. avogadro

    Serikali ipige marufuku series za kihistoria za Kituruki

    ♦️Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania ♦️ Zinaonyesha ukatili wa kuchinjana hadharani kwa mapanga, hivyo zinaweza kufanya vijana wakaiga michezo hiyo na kutengeneza...
  19. L

    Start Up: Hii series nzuri sana, inaelezea changamoto za kuanzisha biashara na kujaribu kubadili maisha

    Hii series nzuri sana, inaelezea changamoto za kuanzisha biashara na kujaribu kubadili maisha, kupata investors nk
  20. H

    Hii series ni Kali ile mbaya lakini ipo underrated

    Habari Zenu, Katika utundu wa kutafuta series ya kuangalia kuna jamaa yangu mmoja akanirushia series moja ya Taiwan inaitwa DANGER ZONE CHAPTER 1: THE DARKNESS KNIGHT binafsi sio mpenzi wa movie au series zinazotoka Taiwan au za wafilipino lakini siku moja nikuwa Sina kitu Cha kufanya nikaona...
Back
Top Bottom