Sembé is a town located in the Sangha Region of the Republic of the Congo. It is located about 1193 km from Accra, about 1581 km from Lagos and about 3297 km from Fortaleza.
Wanajamvi wakati tunaendelea kumuona Makonda akiendelea kuuwasha moto na kuendelea kuwa man of the match kuna kitu nimekibaini....!
Maduka mengi ya jumla(wholesale) hapa wilaya ya Bunda yananyonya sana wafanyabiashara wadogo wadogo(wa rejareja),ila mbinu wanayotumia ni kali sana...
Wadau, hususan TFDA (The Tanzania foods and drugs authority), ni kwa muda mrefu nimekuwa na tashwishi ya kutaka kujua kuhusu madawa/virutubisho (fortifications) zinazotiwa na wasagaji katika unga wa sembe nk , maswali yangu kwa wahusika au kwa mtu yeyote anajua kuhusu hayo madawa/virutubisho ni...
Wakulima wa mazao hapa nchini wamekuwa wakiuza mazao yao kwa bei ya chini sana kuliko gharama za uzalishaji kwa sababu serikali iliwajali zaidi walaji wasio lima. Sasa serikali inageuza upande wa pili na kuwapa soko kubwa na la ushindani wakulima. Hatua hii imefanya bei ya mazo ya wakulima...
Wiki mbili zilizopita nilinunua Unga wa sembe kilo 5 kwa tsh 8500 lakini jana katika duka lile lile nimeuziwa kwa tsh 8000.
Muuzaji akaniambia katika wiki mbili zijazo bei itashuka kufikia tsh 6500 Sawa na tsh 1300 kwa kilo.
Hongera waziri Bashe kwa ufuatiliaji.
Pascal Mayalla nakusalimu.
Nimekuwa msomaji na mfuatiliaji mzuri sana wa makala zako ulizozibandika jina la "Kwa Maslahi ya Taifa".
Kupitia makala hizi nimekuwa nikijifunza vitu mbalimbali na bingo sana.
Kikubwa zaidi nilichojifunza, hizi makala zipo kwa ajili ya kuwaponda wapinzani na...
TAARIFA YA KIFO CHA SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE MAY 1999
Nimeweka hapa historia ya dua iliyofanywa Mnyanjani mwaka wa 1958 ka ajili ya kutaka msaada wa Allah katika tatizo kubwa lilikokuwa linaikabili TANU katika Uchaguzi wa Kura Tatu.
Kisa chote kile cha dua hii ya Mnyanjani kuanzia Mwalimu...
Waungwana natumaini mu wazima na kwa Neema na Baraka za Mungu majukumu yanaenda vema kwa kila mmoja wetu. Kama mambo hayaendi vema kwako usikate tamaa, kesho yaweza kuwa zamu yako ya kubarikiwa, endelea kufanya yote kwa bidii, maarifa bila kusahau kuomba na kushukuru.
Twende kwenye maada...
JIPATIE SEMBE NA DONA SAFI NA KWA BEI NAFUU
BEI
Habari!
Nauza unga safi wa sembe na dona kwa bei nafuu. Kwa wakazi wa Dar es Salaam unaletewa popote ulipo kwa bei hizo hapo chini.
Kwa wakazi wa mikoani tutakuletea pia popote ulipo kwa ongezeko kidogo la bei kulingana na umbali wa mkoa ulipo...
Kwa mapenzi mema namshauri Konde boy aache kutumia poda, ajifunze kwa kaka zake waliopotea kwa kuendekeza poda.
Management yake msimuogope boss wenu msaidieni kabla gari haijawaka, ikiwaka hakuna sober house itayomsaidia. Haya mengine mengi mnayoyasikia ni matokeo ya stress na kuchanganywa na...
Nahitaji kuprint mifuko ile ya kuwekea unga..
Logo ninayo tayari
Nahitaji kujua gharama ni zipi kwa mfuko kg 5 na kg 25
Na mnaanza kuprint kuanzia pc ngapi
Mnatumia tecnolojia ipi
Kuprint au muhuri??
Nipen gharama za kila teknolojia
Hellow wanaJF,
Nina wazo la kuanzisha biashara ya kusaga unga wa sembe na ku-pack kwa ajili ya kuuza. Jamani naombeni mawazo yenu.
WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUJIFUNZA KUHUSU BIASHARA HII
MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.