comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,211
- 5,937
Wakulima wa mazao hapa nchini wamekuwa wakiuza mazao yao kwa bei ya chini sana kuliko gharama za uzalishaji kwa sababu serikali iliwajali zaidi walaji wasio lima. Sasa serikali inageuza upande wa pili na kuwapa soko kubwa na la ushindani wakulima. Hatua hii imefanya bei ya mazo ya wakulima kupanda na kusababibisha madhara hasi kwa bei ya walaji.
Hii ni hatua nzuri sasa wakulima wanafaidi jasho lao. Ambaye hayuko tayari kununua sembe kwa bei ya juu alime mahindi yake.
ASANTE CCM
Hii ni hatua nzuri sasa wakulima wanafaidi jasho lao. Ambaye hayuko tayari kununua sembe kwa bei ya juu alime mahindi yake.
ASANTE CCM