sehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ulisikia maisha ni nafuu ila ulipofika ulikuta hali tofauti

    Mfano kusikia gharama za maisha ya mkoa flani zipo chini kumbe kuingiza hata pesa kidogo ni shida, Kusikia mkoa flani una mzunguko wa pesa kumbe kumbe maisha yapo juu mno
  2. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tulia kutekwa ni kuchukuliwa kwa nguvu na watu wasiojulikana na kupelekwa sehemu isiyofahamika sio hadi uone akitekwa ndio tuseme ametekwa

    Nilimsikia tulia anasema "huwezi kusema mtu ametekwa wakati hujamuona" kwanza kutekwa ni kupi ? Tulia kutekwa ni kuchukuliwa kwa nguvu na watu wasiojulikana na kupelekwa sehemu isiyofahamika sio hadi uone akitekwa ndio tuseme ametekwa. Tuache kukwepa hoja siziso za msingi mtu aliyetekwa sio...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Houth wanatakiwa wapigwe sehemu zifuatavyo ili kuwadhoofisha!!

    Je, Israel inaweza kushambulia malengo gani ili kudhoofisha utawala wa Houthi? Kufikia sasa, Israel imeshambulia bandari, mitambo ya saruji, mitambo ya kuzalisha umeme na viwanja vya ndege nchini Yemen. Marekani, kwa upande wake, ilishambulia shabaha nyingi za kijeshi kwa kiwango kikubwa...
  4. jikuTech

    JamiiForums Tanzania Java: Utangulizi ! || SEHEMU 1

    Je, umewahi kujiuliza programu zinazotumika kwenye simu yako au kompyuta zinafanyaje kazi? Au unatamani kuunda programu zako mwenyewe? Basi kujifunza programu kwa kutumia Java ni njia nzuri ya kuanza! Kwa Nini Java? Rahisi kujifunza: Java ina muundo rahisi kueleweka, hivyo ni lugha nzuri kwa...
  5. jikuTech

    JamiiForums Tanzania Datatypes, Operators, Strings na Numbers Kwenye Java | SEHEMU 3

    Kwa Nini Ujifunze Java Datatypes, Operators, Strings na Numbers? Hizi ni Kama blocks kwa ajili ya ujenzi wa Program yako. Vitakuruhusu kuunda programu thabiti na bora. Hapa kuna baadhi ya faida za kujifunza Java Datatypes, Operators, Strings na Numbers: Uwezo wa kutumia aina mbalimbali za data...
  6. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Mbeya ni sehemu yenye watu strong sana , kimtazamo, kimaamuzi na katika kujua haki zao Study case kwa Mdude!

    Issue ya kutekwa kwa Mdude , Inaacha Alama katika vichwa vya watu wenye maono . Ni kuwa Mbeya ni sehemu ya watu wenye uwezo mzuri wa kupigania haki. Mpango mkakati wa mabadiliko. unabidi kulenga na kuwekeza sehemu zenye watu wanaojielewa na kujua nini wanataka Issue ya Mdude haitopita hivi hivi.
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Videos : Hili sakata Yanga tunapigwa Miti kila sehemu. Huku Simba wamenyamaza tu

    Inauma sana. Tumekuwa tunashambuliwa na kila mjuzi wa soka. Hadi watu wetu wenyewe wanatugeuka kuwa hatuna akili. Simba wao wamenyamaza tu kama hawahusiki. Viongozi why lakini? Je ni kuficha aibu ya matokeo ya barua ya CAS? tumeamua kutafuta kichaka cha kujifichia? Sasa tunachimba shimo...
  8. MWANAHARAMU

    JamiiForums Tanzania Nawaomba wataalamu wa jadi na Waganga wawekeni chale maeneo yasiyononekana

    Hii tabia inaharibu sifa na wadhifa kwa binadamu hasa jinsia ya kike. Embu pata picha hapo Mwanza maeneo ya Capri point, mdada mzuri jamii ya kisukuma, shepu imesimama halafu amewekwa chale eneo la paji la uso yaani katikati ya macho? Hii inaharibu hdi soko lake. Kule Bariadi, Itilima na...
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kuna wakati unafika, hela inakuwa sio sehemu ya shida zako ila unakua na shida ambazo hazitatuliki kwa hela!

    Hii stage ukiifikia basi ujue the only solution ya matatizo yako ni Mungu baba mwenyezi wa mbinguni pekee⛓️‍💥⛓️‍💥
  10. H

    JamiiForums Tanzania Jambo muhimu ambalo sehemu kubwa ya jamaa haifahamu kuhusu ugonjwa wa MPOX

    Ugonjwa wa MPOX unaenezwa kwa njia ya ngono. Hii siyo njia pekee isipokuwa kwa kiasi kikubwa watu wazima wanapata ugonjwa huu katika mchakato wa ngono au tendo la ngono lenyewe. Vimelea hukaa katika majimaji ya mwili (ute wa mwanamke, mbegu za mwanaume, damu, mate n.k) wa binadamu au mnyama...
  11. ommytk

    JamiiForums Tanzania Kumbe pikipiki sio nzito kuna sehemu boda kajichanganya tumepewa adhabu tuibebe

    Leo ndio nimejua kuwapikipiki kumbe sio nzito kabisa aisee tumebeba Mimi na boda boda mahali tumepita boda kajichanganya kusimama boda imezima basi tumebeba juu juu aisee ni nyepesi sanaaaaaa I love my country
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Raia masikini Watanzania ni sehemu ya wanaochochea wizi wa mali za umma na ufisadi kwa mitazamo yao.

    Raia wengi Watanzania huwa wanashangaa na kukejeli mtu (mtumishi wa umma, mfanyabiashara au mtu maarufu tu) aliyefariki mjini au aliyefiwa pale ambapo wanaenda kuzika na kukuta nyumba au mazingira duni msibani. Ni upumbavu kufikiri ni jambo rahisi sana kwa Watanzania wengi hasa waajiriwa kuwa...
  13. Inside10

    JamiiForums Tanzania CAG: Tsh 1.14 Trilioni Zilizokusanywa Na TRA hazikuwasilishwa kwenye taasisi husika kama ilivyopaswa

    Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2023/24 imebaini kuwa jumla ya Shilingi trilioni 1.14 zilizokusanywa kupitia tozo mbalimbali na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hazikuwasilishwa kwenye taasisi husika kama ilivyopaswa. Kwa mujibu wa ripoti hiyo...
  14. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Wachina sasa ni kila sehemu inafurahisha na kusikitisha kwa wakati mmoja

    Yees, baada ya wabongo wenzetu kuingiza tamaa na kutunyoosha kwa bidhaa kutokea china wakiuza na kupata faida zaidi ya mara 4, na endapo ukijichanganya kwa hawa madogo wanaojiita winga wa kariakoo utanunua kwa bei mara 10 zaidi. Mfano blender ya 3000 watakuuzia 120,000/=... Ukijichanganya...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Ufungaji wa Viti vipya 62,000 Uwanja wa Mkapa unaendelea, vitakuwa na muonekano wa bendera ya Tanzania

    Zoezi la ufungaji wa viti vipya 62,000 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa linaendelea, ambapo viti hivyo vitakuwa na muonekano wa bendera ya Taifa la Tanzania ambazo ni rangi za Njano, Nyeusi, Bluu na Kijani. Hatua hiyo ni sehemu ya maboresho makubwa yanayotekelezwa kwa lengo la kuboresha...
  16. Knock life

    JamiiForums Tanzania Wasanii kama Meja Kunta inakujae mama yako anauza samaki usiku anateseka na anaishi sehemu ya ajabu

    Wasanii kama Meja Kunta inakujae mama yako anauza samaki usiku anateseka na anaishi sehemu ya ajabu. Wasaniii mjitafakari Sana
  17. G Sam

    JamiiForums Tanzania Nakipongeza chama changu CHADEMA kwa msimamo thabiti juu ya UCHAFUZI. Binafsi nitatumia uwezo wangu wote kuhakikisha nakuwa sehemu ya kuuvuruga

    Naapa kwa Mungu lazima niuvuruge Uchafuzi mkuu wa mwaka 2025. Nikiondoka na roho hata moja tu ya mchafuzi nitakuwa na amani kubwa moyoni. Kubwa sana! Nikipongeze Chama changu CHADEMA kwa msimamo thabiti. Sasa huko mitaani kazi yetu itakiwa nyepesi sana maana itakuwa ni kazi moja tu ya...
  18. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wakuu samahani nauliza bato za alaf Kwa kibaha kiwanda Chao kipo sehemu gani

    Nataka kwenda kuchukua bati kiwandani Moja Kwa Moja wadau hivi hii kampuni ya alafu kiwanda chake kipo sehemu gani kibaha msaada wenu wakuu na he nyumba ya chumba kimoja jiko sebule choo inaweza ingia bati ngapi
  19. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Wivu kwa vijana wadogo wanaofanikiwa haraka, haya ni majibu ya ‘ChatGPT’ juu ya hilo

    Nadhani wengi mnakumbuka sakata la Niffer… Majibu ya ChatGPT ni haya.. [Why are older people jealous of sucessful young people?] =============== Wivu dhidi ya vijana waliofanikiwa unaweza kutokana na sababu mbalimbali za kisaikolojia na kijamii, ingawa si watu wote wazima wanahisi hivyo. Hapa...
  20. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Sehemu Gani hapa Dar weekend wanaonesha cinema??

    Nataka kila weekend niwe naenda cinema je wapi Kuna cinema quality sanaa na mazingira mazuri?
Back
Top Bottom