sehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania China amerestrict uuzaji wa rare earth metals kama sehem ya vita ya kiuchumi aliyoianzisha trump-hii ndo sehemu Tanzania ya kusimamia

    Tumeona china ama-restrict uuzaji wa rare earth metals kwa nchi zote dunia sio marekani tu kama mtu anayepigana naye vita na haya ni maoni yangu ambayo yatakuwa na faida kwa nchi kama yakifanyiwa kazi Mfano wa rear earth material zilizopo Tanzania neodymium praseodymium
  2. HenrysoN

    JamiiForums Tanzania Sehemu 15 za kutazama movies & series bure (online) – no netflix, no stress!

    📌 Burudani bila kulipia? Ndiyo, inawezekana! Kwa mashabiki wa movies na series — kama wewe ni mpenda burudani lakini huwezi (au hutaki) kulipia Netflix, Showmax n.k., basi uzi huu ni kwa ajili yako. Mimi binafsi natumia zaidi OnStream na HDToday hizi sio lazima VPN — apps kali ambazo...
  3. Kinyonga01

    JamiiForums Tanzania Ninaomba kupata nakala ya riwaya ya Matthew Mulumbi sehemu ya 2 ya mwandishi Patrick C.K

    Habari za Jioni wapendwa. Ninaomba nakala Ya kitabu cha MATTHEW MULUMBI Part 2 YA mwandishi Patrick C.K. Nimetafuta kila kona sijapata hivyo basi aliyebahatika kuwa nacho anisaidie na mimi hapa Natanguliza shukrani zangu za dhati 🙏
  4. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Nani anirekebishie blog yangu iwe na sehemu ya selling product kama hii

    Kwenu wa taalamu! Usisahau kutaja Bei yako ya kazi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jifunze umuhimu wa kufanya Fumigation sehemu zifuatazo, Nyumbani, Ofisini, Shuleni na kwenye Maghala

    FUMIGATION ina jumuisha mambo mawili 1.Kunyunyiza 2.kufukiza Watu wengi wamewahi kuona FUMIGATION ya kunyunyiza ila hawajui kuhusu FUMIGATION ya kufukiza,,, Hii inasababishwa na ukosefu wa Elim katika jamii kuhusu jambo hili. Kwa mfano kuna watu wengi hupita mitaani na kujinasibisha kuwa...
  6. Setfree

    JamiiForums Tanzania Mbinu za Kuwa Tajiri(Milionea) - Sehemu ya II(Part Two)

    Mtu asikudanganye kwamba ukienda kwa wachawi au waganga utapata dawa ya kuwa tajiri. Watu wameenda huko na kutapeliwa kwamba wakiwatoa kafara watoto au wazazi wao ndio watapewa dawa ya utajiri. Ukiwa tajiri kwa njia hiyo basi ujue jehanam inakusubiri kwa hamu ikutafune. Wewe unayefanya biashara...
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TRC sehemu ya kununua tiketi za SGR online haifanyi kazi, shughulikieni

    Wakuu, Nataka nikaionje SGR lakini naona TRC Railway wanataka kunihujumu. Website yao inafunguka vizuri tu lakini ukifika sehemu ya kukata tiketi za SGR inakwama. Kuna nini? Au wametoa taarifa huko kuwa sight yao kwenye kipengele hiko ipo down? Ujumbe uwafikie waheshimiwa TRC, fanyeni mambo...
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuwatishia matajiri na wafanyabiashara ijaanza leo wakiwa upande wa vyama pinzani

    Kama mnakumbuka:Hiki kisa cha Katika miaka ya 1990, kulikuwa na tukio ambapo serikali ya Tanzania ilimwaga shehena ya ngano na unga wa ngano wa mfanyabiashara maarufu, Said Salim Bakhresa, ikidai kuwa bidhaa hizo hazikukidhi viwango vya ubora vinavyohitajika kuingizwa nchini. Kutokana na hatua...
  9. Faana

    JamiiForums Tanzania Hii picha imepigwa wapi na eneo gani la sehemu husika

    Kwenu wajuzi, hii picha imepigwa mkoa gani? Mji gani? Mtaa gani?
  10. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Jumatano ya majivu: Kupakwa majivu ni kukubali kwetu kuwa, tu wadhambi, tunahitaji kusafishwa 'Mwanadamu, u mavumbi na mavumbini utarudi'

    Jumatano ya Majivu, Mwanzo wa Kipindi cha Kwaresima Cha Siku 40 Kwaresima ni kipindi cha siku arobaini za kufunga, kusali, kutafakari Neno la Mungu na kufanya matendo ya huruma. Ni kipindi kinachotualika kumwilisha ndani mwetu utamaduni wa upendo, kwa kufunga na kutenda matendo ya huruma: kiroho...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Sehemu ya kufanya field

    Nina mdogo wangu yupo chuo mwaka wa pili anasoma accounts, nilikuwa nauliza sehemu na nzuri za kufanya field.
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu wa meza sehemu ya pili: Mbao asilia.. Ufundi uliotukuka..

  13. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Hii haina madhara kwenye sehemu za huyu Dada? Nimeshangaa sana

    Hakuna haja ya salamu. Jana nlienda beach flani ya kishua huko pembezoni ya beach. Nikawa nime cool tu napata moja baridi,moja baridi. Sikujua kama Tanzania kuna joto hivi. Nimeingia Ijumaa alfajiri. Baadaye nikaona nikapoze mwili. Likaja lishangazi limefunga kitambaa laini kiunoni. Lina mipaja...
  14. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Nimetafuta kwenye Quran hakuna sehemu Mungu amesema waislamu muoane

    Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️ Sipo hapa kwa kubeza wala kukejeli nataka kupewa elimu kutoka kwa muislamu aliyesoma Quran tukufu ambayo ndio muongozo wa muislamu na usinilete hadithi kutoka muslim na tilmizu eti alimsikia mtume akisema hapana. Nataka kwa mwenye andiko kutoka kwenye kitabu...
  15. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unadhani wivu ni sehemu ya asili ya upendo, au ni ishara ya kutokujiamini?

    Habarini wakuu. Share your thoughts...
  16. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mti maarufu soko la Nyasho ukatwe ili kujenga soko? Kwa nini isiwe sehemu ya kuenzi historia? Wachora ramani mnafeli wapi kujumuisha nature?

    Nikifika Mwanza eneo la kapripoint, nafurahishwa na namna jinsi wachora ramani walivyoyaweka majengo yakaishi na nature, bila kuharibu mazingira. Kuna tatizo la ubunifu. Ukiangalia majengo mengi nchini ni kama majengo yanafanana, hakuna utundu. Niliwahi kutoa challenge watu wajadili ubunifu...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hii ya fisi 17 wenye chapa kuuliwa sio bure kuna sehemu na namna mitambo ilitingishwa.

    Either kikundi chao walifanyiana civil war wenyewe Or walikuwa hacked/infiltrated/disrupted na adui yao alietaka kuwa expose. Sio kirahisi rahisi hivyo mashine zao kupigwa chini maana hawa jamaa wamefanya hii kazi vizazi na vizazi bila ya kuwa exposed kirahisi rahisi hivi. Inakuwaje mtu...
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: Vijumba vya kupunga upepo na sehemu ya wageni

    Money talk bandugu . ukiwa nazo huhitaji kubanana na watoto sebuleni.. Wala weekend huhitaji kuikimbia nyumba yako.. Pembeni ya garden yako unaweza kuweka kitu kama hiki❤❤❤
  19. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Sehemu zenye fursa nyingi zaidi Tanzania.

    Tanzania ina maeneo mengi yenye shughuli nyingi za kiuchumi na fursa za biashara. Hapa chini ni orodha ya maeneo 13, yenye fursa nyingi za kiuchumi: 1. Dar es Salaam: Jiji kuu la kibiashara nchini, lenye bandari kubwa inayohudumia nchi nzima na majirani. Shughuli za kibiashara na viwanda ni...
  20. Fateema

    JamiiForums Tanzania Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

    Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule Maoni na ushauri wako please
Back
Top Bottom