Vijana,wazee
Kunawakati inabidi kujitafakari kwanza na kujiuliza kuwa ninachokifanya ni sahihi
Yaan unajipa umuhimu Kwa mtu ambaye hajui thaman ya nafasi Yako
Kiufupi tuache kujiingiza kweny kusqidia watu ambao hajatuomba msaada,shida,tatizo n.k
Sababu tunahaibishwa Kwa kuzalauliwa mnoo...