sauti

Sauti Sol are a Kenyan afro-pop band formed in Nairobi, Kenya by vocalists Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano and Savara Mudigi in 2005. Initially an a cappella group, guitarist Polycarp Otieno joined before they named themselves Sauti.Sauti Sol released their debut studio album Mwanzo on 1 November 2008, to critical acclaim. Their second studio album, Sol Filosofia, was released on 25 February 2011, earning the group a number of accolades and nominations in the process. On 18 June 2012, the band released a self-titled extended play in collaboration with South African rapper and record producer Spoek Mathambo. Their third studio album, Live and Die in Afrika, was released online on 21 November 2015 as a free download, available for 48 hours as an early Christmas present.The band has had several successful tours in Africa and Europe, topped Kenyan charts and gained international attention with shows in Europe and the US, as well as television appearances and various accolades and nominations, including their 2011 concert performance in Kenya with South African a cappella group Ladysmith Black Mambazo. The band has also received both local and international accolades and nominations, including at the Kisima Music Awards, the Channel O Music Video Awards, the MTV Europe Music Awards, and the BET Awards.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Sijawai kuona chuo Over rated kama SAUT Mwanza, Ni chuo kilichopigwa make-up ya maneno lakini hadhi yake ni chuo cha kati

    Wanafunzi wa Sauti Mwanza wakisifia chuo chao, unaweza kuhisi unakosa kitu cha kipekee, kuna kipindi walikuwa wanajitutumua hadi kujilinganisha na UDSM, UDOM, MZUMBE, n.k. nilikuwa nadhani ni bonge la chuo ila nimekuja kukifuatilia nimekiona ni chuo cha kawaida sana. Kitivo cha biashara hakina...
  2. B

    Tahadhari kwa Serikali: Msipuuze sauti ya wananchi – “no reforms, no election”

    Katika kipindi hiki muhimu kwa mustakabali wa taifa letu, sauti ya wananchi inazidi kuwa wazi na isiyoweza kupuuzwa: “No Reforms, No Election”. Hii si kauli ya jazba bali ni ujumbe wa kizalendo kutoka kwa Watanzania wanaotaka misingi imara ya demokrasia, uwazi wa uchaguzi, na uongozi wa haki...
  3. fakhbros

    Sauti ya waliosahaulika Tanzania

    NO REFORM, NO ELECTION: SAUTI YA WALIOSAHAULIKA TANZANIA Na Kamgisha Abeid: Wakati taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu mwingine, sauti ya wanyonge inazidi kufunikwa na makelele ya wanasiasa. Lakini sasa, kutoka kwenye vijiwe vya kahawa, masoko ya wakulima, shule za kata, viwanda vya...
  4. Common Folk

    PreGE2025 Janeth Rithe: Rais Samia wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu, ukisifiwa kwa mazuri basi hata mabaya pia hauwezi kuyakwepa (KUMBUKIZI)

    Huyu mama sasa hajapindisha maneno wala kuongea kwa tafsida kama Gwajima, yeye amelenga mulemule kwa mama. === Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa wa ACT Wazalendo, Janeth Joel Rithe amesema kuwa Rais Samia Suluhu hawezi kukwepa wajibu juu ya malalamiko ya wananchi kuhusu matukio ya utekaji...
  5. The Dictator

    Kumbukizi: Sauti ya watu by Nay wa mitego; ilitoka; November 2, 2022

    Sauti Ya Watu – Nay Wa Mitego UTANGULIZI: Hii sio sauti ya kiharakati wala Ukombozi wa musa na fimbo yake Bali haya ni maumivu ya mnyonge Anaye wakilisha walala hoi wenzake Kwenye kinywa kilichokosa Pa kusemea hisia zake UJUMBE: • Natanguliza samahani kwa wale nitakao wakwaza Yamenifika hapa...
  6. Wakusoma 12

    Rais Samia, Tafadhali Sikiliza Sauti ya Watu wa Mungu

    1. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, tunakutambua kama kiongozi wa nchi yetu, mama wa taifa, na muendelezaji wa juhudi za maendeleo. Tunakupa heshima yako kama mkuu wa nchi. 🇹🇿 2. Lakini tunakuomba kwa unyenyekevu, usikilize kilio cha viongozi wa dini ambao kwa nyakati mbalimbali wamekuwa...
  7. TODAYS

    UKOO: Hakuna Mgumu wa Kutoa Sauti, Hata Mmoja

    Nina uchungu. Hakuna mzee hata mmoja wa kuonya Mkapa, Mwinyi hawapo. Mzee Mkapa ndiye alikuwa anauthubutu wa kusema wazi na kukemea yeyote kwenye nchi hii ukitoa Baba wa Taifa. Kwa sasa nchi haina powerful end say, ndiyo tujifunze kushabikia wanasiasa vizuri. Nchi haina baba na waliopo ndiyo...
  8. The redemeer

    Katu huwezi ilinda amani kwa kuua sauti ya haki

    "Miaka ya 4500 kabla ya Kristo, wakati jamii zilipoanza kuelimika, askari walijitolea kwa moyo wa dhati kuilinda jamii dhidi ya watu wabaya. Walikuwa ngao ya wanyonge, walinzi wa haki na utulivu. Magenerali kama Hannibal Barca wa Karthage (Tunisia ya sasa), aliyepambana kulinda taifa lake dhidi...
  9. Asali ya limao

    SAUTI YA KIVULI

    SURA YA KWANZA MLANGO WA TANO MIAKA MITATU BAADAE TSS HQ-DAR ES SALAAM Nchi ilikuwa imetulia na kurejea katika hali yake ya utulivu kama ilivyokabidhiwa na waasisi wa taifa hili pindi walipoamua kung'atuka katika nafasi zao na kuwa kama wananchi wengine, watu walikuwa...
  10. secretarybird

    Hiki kisa changu cha mwaka 2004 huwa nikikumbuka huwa kinanifanya nicheke kwa sauti hata nikiwa peke yangu

    Shalom jukwaa! Nilipokuwa mwanfunzi nilikuwa nina tabia ya kutofika shuleni kwa sababu nilikuwa sipendi shule kuliko kitu chochote kwa kipindi kile lakini wazazi walikuwa wananilazimisha kwenda shule hata kwa fimbo wakati mwingine (nawashukuru sana kwa hilo). Kule kutokupenda shule kulinifanya...
  11. Mshana Jr

    Sauti ya Mungu inazidi kutikisa na kutetemesha kambi za shetani

    Kibali chochote kile kikubwa Hushuka kutoka kwa Mungu! Pamoja na yoote dhidi ya Chadema - haya ndio majibu ya Mungu kwa watu wote wanaojaribu kukibomoa Cham hiki? Sauti ya Haki ni Sauti ya Mungu. Arusha Mjini.
  12. Said Shagembe

    Ni ipi sauti huru ya walimu?

    Ni ipi hasa sauti ya walimu katika taifa letu? Je, ni sauti inayosikika, inayoheshimiwa, inayotetewa? Au ni sauti iliyozimwa kwa hofu, ukimya, na matumaini hewa? Walimu ndio wanaochonga maisha ya kila kada ya jamii – wanasheria, madaktari, wahandisi, hata viongozi wa kisiasa – wote walipitia...
  13. Abraham Lincolnn

    Jumuiya za Kimataifa, Gen Z Kenya, Elon Musk na Diaspora saidieni kupaza sauti ukandamizaji mkubwa unaoendelea Tanzania

    Hii ni kwa wale wenye mapenzi mema ma wazalendo wa nchi yao, Wote tunashuhudia ukandamizaji mkubwa wa demokrasia, utekaji na mauaji makubwa yakifanyika mchana kweupe. Wote tunashuhudia ni kwa jinsi gani CCM imedhamiria kutumia mabavu kwa namna yoyote kuhakikisha inasalia kwenye dola, Nani...
  14. CHAGOSI GERALD

    Huwezi kuilinda amani kwa kuuwa sauti za haki. Ulinzi wa kweli unaanza pale unapoamua kuwa binadamu~si roboti wa mamlaka

    "Miaka ya 4500 kabla ya Kristo, wakati jamii zilipoanza kuelimika, askari walijitolea kwa moyo wa dhati kuilinda jamii dhidi ya watu wabaya. Walikuwa ngao ya wanyonge, walinzi wa haki na utulivu. Magenerali kama Hannibal Barca wa Karthage (Tunisia ya sasa), aliyepambana kulinda taifa lake dhidi...
  15. Royal Son

    KIPAZA SAUTI BORA NA RAHISI KUBEBEKA

    Unatafuta kipaza sauti bora kwa✅ mahojiano, vlog, podcast, au ✅ matangazo ya moja kwa moja?✅ Lavalier Microphone Recorder ni suluhisho lako kamili!💯 Ubora wa sauti wa hali ya juu Rahisi kubeba na kutumia Inaendana na simu, kamera, na kompyuta Inazuia kelele za mazingira (noise reduction)...
  16. Pulchra Animo

    Samia na Kiti Cha Enzi Cha Sauti Zilizovunjika

    Ee Samia, uliyefunikwa kwa dhahabu iliyojaa damu, Ndoto gani mbaya zinazoishi ndani ya kimya chako? Chawa wako hukuimbia nyimbo za sifa kwa sauti tamu, Wapinzani hutekwa, huteswa na wengine hutoweka mitaani kama upepo. Buti, gereza, kilio kilichozibwa—Gharama ya ukweli, bei yake—uongo. Lakini...
  17. M

    PreGE2025 Mrema: CHAUMMA inaenda kupambana na CCM kweli kweli na kuwa sauti ya UMMA

    Kwa sababu huijui Katiba ya Chaumma unaweza kujiandikia chochote , Katiba iko wazi kuwa kama Mwenyekiti akitoka upande mmoja wa Muungano,Katibu mkuu lazima atoke upande wa pili wa Muungano ,period . Mmezoea kuishi kwa kutunga sana uongo, acheni kuwa waongo na wazushi . Chaumma next level...
  18. Mikopo Consultant

    Kila nikitaka kujiandikisha daftari la wapiga kura, sauti ya 'ILI IWEJE' inanijia masikioni, nami najeuka speed kali kuendelea na mambo yangu binafsi

    Kuna kila dalili kwamba sitahuisha kichinjio changu kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Nimejaribu mara mbili kuhuisha ila imeshindikana kabisa kufanya hivo, mara zote nikikaribia eneo la tukio, huwa inanijia ile sauti ya 'ili iweje', basi na mimi najeuka kwa kasi, nyuzi za pembe 180, naamua kuelekea...
  19. figganigga

    Mdude Nyagali kupatikana tena ni 5%. Poleni sana Watanzania

    Uharakati wa Bongo ni sawa na kuchungulia kaburi. Nitumie nafasi hii kutoa pole kwa Wanaharakati wote. Pole kwa Marafiki zake Mwabukusi na Dr. Slaa na Wanachama wote wa JamiiForums wasiokubaliana na Sela za CCM. Matamanio ya kila Mtu ilikuwa kumuona Mdude_Nyagali akishuhudia CCM ikiondolewa...
  20. Waufukweni

    Mtaturu: Wanaosema 'hatuchezi' nao ni sawa na wanaosema 'No Reforms No Election'

    Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Mheshimiwa Miraji Mtaturu, amesema kuwa wapo baadhi ya watu wanaojaribu kuonesha tofauti na kutoshirikiana kisiasa, lakini ukweli ni kwamba wengi wao wanafanana kwa kauli na matendo. Akichangia Bajeti ya Wizara ya Ujenzi, Mtaturu alisema: "Mheshimiwa...
Back
Top Bottom