Brazil waliingia mkenge kwa kuachana na staili ya soka lao la samba lenye burudani ya kufa mtu, linalowekeza kwenye vipaji na wakaiga soka la ulaya linalo-base kwenye mpira wa kibiashara zaidi kuliko burudani!!
Tusahau kuibuka na kuendelezwa kwa vipaji kama Pele, Maradona, Ronaldo og...