Trump amebadilika sana, kwanini!?

Trump amebadilika sana, kwanini!?

Keyboard_Warrior

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
6,288
Reaction score
10,959
Hivi Trump ni wa kuikosoa Israel waziwazi bila kupepesa macho!?
Trump ni mtu wa kufanya makubaliano ya amani na Iran bila kuihusisha Israel?
Kwanini Trump amebadilika hivi?
Eti jamani!???

Hivi Trump leo hii amekuwa mtu wa kutamka hadharani kwamba bila yeye Israel ingekuwa imefutwa kwenye uso wa dunia na Iran!?


View: https://x.com/TreyYingst/status/2066834485824352457


Screenshot_2026-06-16-16-47-51-33_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Kamchoka Netanyahu, maana jamaa anatumia pesa na rasilimali za USA kwa bifu zake na Iran. Mbaya zaidi Trump aliaminishwa na Netanyahu kuwa vita itakua nyepesi bahati mbaya imeenda ndivyo sivyo kaishia kuvuna aibu.
 
Hivi Trump ni wa kuikosoa Israel waziwazi bila kupepesa macho!?
Trump ni mtu wa kufanya makubaliano ya amani na Iran bila kuihusisha Israel?
Kwanini Trump amebadilika hivi?
Eti jamani!???

Hivi Trump leo hii amekuwa mtu wa kutamka hadharani kwamba bila yeye Israel ingekuwa imefutwa kwenye uso wa dunia na Iran!?


View: https://x.com/TreyYingst/status/2066834485824352457


View attachment 3609084


Alimtuma Rubio Vatican...baada ya pale kila kitu kimya....halafu huku Mwenerumango tunafikiria Vatican ni sehem,u rahisi, ya kwenda kutafuta open space za kujenga vituo vya mafuta 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hizo files zimemshikia chini
Nimemuona jana akiongea na waandishi wa habari huku akiwa na Macron, kajikunyata kawa mdogo anaongea kwa uoga. Nafikiri ameenda kuwaomba msamaha viongozi G7 kwa kuwaingiza kwenye vita vya Israel na kusababisha muanguko wa uchumi.Mossad na MI6 wana clips zake akiwa kwenye kisiwa cha Epstein, wanasubiri wamalizane na Hezbollah halafu wamripue. Maskini hakujua kua Epstein mwenyewe alikua Mossad's agent. Ataangukia pua huyu Trump.
 
Trump anasema kuwawinda magaidi haikupi haki ya haki ya kulipua jengo zima na kuua raia wasiokuwa na hatia!!!

Dunia inaenda kasi sana, sikuwahi tarajia kuwa kuna siku raisi wa USA atawaita Israel magaidi.
😁😁😁 Imekuwaje Tena watoto wa promising land wanaitwa terrorist Tena

Daahh kwanza ncheke 😄
 
Hivi Trump ni wa kuikosoa Israel waziwazi bila kupepesa macho!?
Trump ni mtu wa kufanya makubaliano ya amani na Iran bila kuihusisha Israel?
Kwanini Trump amebadilika hivi?
Eti jamani!???

Hivi Trump leo hii amekuwa mtu wa kutamka hadharani kwamba bila yeye Israel ingekuwa imefutwa kwenye uso wa dunia na Iran!?


View: https://x.com/TreyYingst/status/2066834485824352457


View attachment 3609084

Basi hapo sasa ndipo umeanza kumfahamu vizuri Donald Trump.Hatabiriki na ndivyo alivyo na anajua kucheza the game of world politics!
 
Yaani vita inaitia USA hasara kaona ya Nini wajipe shida

Ungekuwa ni wewe kuweza !?

Kila siku upigane na Iran ambao hawana hata dalili ya kuishiwa na missile bad enough ukiwapiga na wao wanakupiga 😄
 
Israhell wanywa damu ni majangili hivi tujiulize kosa la Palestina ni nn?? je Palestina kweli haitajitawala vizazi na vizazi?? inakua ngumu kuelewa kabisa...
 
Trump ameshaona hii vita na Iran ni hasara kubwa kwa upande wake, chama chake na taifa kwa ujumla ni wazi maamuzi yake yanatokana na Ukweli kuwa hivi vita US iliingia kwa kukurupuka na ni wazi vilikuwa vinaenda kudidimiza uchumi wa US na kuleta athari kwa dunia nzima
 
Israhell wanywa damu ni majangili hivi tujiulize kosa la Palestina ni nn?? je Palestina kweli haitajitawala vizazi na vizazi?? inakua ngumu kuelewa kabisa...
Kamdomo na kuwachezea "polisi" wanaoongozwa na katiba kwa kuwarushia mawe.
 
Hii vita haswa imewapa somo Trump na vibaraka wake,, nathani South Korea kuna kitu amekifahamu hapa kwamba siku US akimgusa Kiduku kutokea kwenye nchi yao wategemee zahma la kutosha...
 
Back
Top Bottom