NAWAKUMBUKA SANA
Kwenye picha hapo chini wa kwanza kulia ni Sheikh Abdallah Muhsin, Sheikh Ali Muhsin, Mwandishi na Farouk Abdullah.
Muscat mwaka wa 1999.
Nimeweka kitabu cha kumbukumbu ya maisha ya Sheikh Ali Muhsin nakala ya Kiingereza na Kiswahili, Tafsir yake ya Qur’an Tukufu na Tafsir ya...