Lissu angekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ingekuwa vizuri, Mbowe akae pembeni

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
Kwanini nini usishauri mwenyekiti wa ccm awe makonda au sabaya? Chadema inakuhusu vipi?
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
MBOWE ALISHAAP KUWA MWENYEKITI WA CDM NI LAZIMA ATOKE KASKAZINI NA SI VINGINEVYO NDIO MAANA ANALAZIMISHA LEMA AWEPO KWENYE KILA ZIARA ILI KUMJENGA NDANI YA CHAMA NA NJE YA CHAMA PIA.HIVI UNADHANI KWA NINI ALIKIMBIA CANADA NA KUJA TANZANIA WAKATI KULE FAMILIA INAPATA HUDUMA ZOTE BURE?
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
Yetu macho

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Bila kujali lengo lako mleta Uzi, ukweli ni kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa ni yule asiyezidisha miaka 10 kwenye nafasi Moja. Iwapo atazidisha miaka 10 kwenye nafasi Moja hasa ya juu kabisa ya taasisi ama nchi, lazima ataanza kutawala kwa mizengwe, na ubora wake utazidi kushuka.

Mifano ya viongozi waliokaa madarakani zaidi ya miaka 10 na kuishia kuharibu ubora wao, ama kuishia kutawala kwa mabavu, mizengwe nk ni:
  1. Nyerere
  2. Mugabe
  3. Moi
  4. Mobutu
  5. Gaddafi
  6. Hosni Mubarak
  7. Paul Biya
  8. Elbashir
Hao wote hapo juu waliishia kutawala kwa mizengwe, mabavu ama ubora wao kushuka baada ya kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Mbowe ni sehemu ya hiyo list hapo juu. Mbowe hakupaswa kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm baada ya kosa la kumpokea fisadi Lowassa na kumpa nafasi adhimu, huku Lowassa akiwa haamini katika falsa za Cdm. Kama aliona aibu kujihudhulu kwa kosa lile, hakupaswa kugombea tena uenyekiti kipindi kilichopita. Anachofanya sasa Mbowe ni kuharibu hata mazuri aliyofanya.
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
Actully itabaki kama CUF huyu pupet akiwa mwenyekiti wa chadema
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John
Pamoja na kwamba mimi siyo shabiki wa chadema tangu niondoke huko, nakubaliana na wewe kwa mbowe kuondoka na kupisha mtu mwingine. Lakini sikubaliani na pendekezo lako la kutaka amwachie lisu uenyekiti. Kumwachia lisu ni kutaka kukiua chama. Lisu hawezi kuongoza taasisi kama chama, anaweza kuongoza genge la wahuni wahuni tu wavuta bangi ambao wanaweza kufuata misimamo yake ya kichizi bila kushughulisha mbongo zao. Akiwaambia kwenda barabarani wanaenda tu bila kuhesabu gharama wala consequences.
 
Bila kujali lengo lako mleta Uzi, ukweli ni kuwa kiongozi mzuri wa kuchaguliwa ni yule asiyezidisha miaka 10 kwenye nafasi Moja. Iwapo atazidisha miaka 10 kwenye nafasi Moja hasa ya juu kabisa ya taasisi ama nchi, lazima ataanza kutawala kwa mizengwe, na ubora wake utazidi kushuka.

Mifano ya viongozi waliokaa madarakani zaidi ya miaka 10 na kuishia kuharibu ubora wao, ama kuishia kutawala kwa mabavu, mizengwe nk ni:
  1. Nyerere
  2. Mugabe
  3. Moi
  4. Mobutu
  5. Gaddafi
  6. Hosni Mubarak
  7. Paul Biya
  8. Elbashir
Hao wote hapo juu waliishia kutawala kwa mizengwe, mabavu ama ubora wao kushuka baada ya kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Mbowe ni sehemu ya hiyo list hapo juu. Mbowe hakupaswa kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm baada ya kosa la kumpokea fisadi Lowassa na kumpa nafasi adhimu, huku Lowassa akiwa haamini katika falsa za Cdm. Kama aliona aibu kujihudhulu kwa kosa lile, hakupaswa kugombea tena uenyekiti kipindi kilichopita. Anachofanya sasa Mbowe ni kuharibu hata mazuri aliyofanya.
Walikuwa wanatawala vyama au nchi?
 
Lisu bado hajakomaa kisiasa ni kama tuh Mbowe kifupi bado wanamengi yakujifunza ndani ya ccm
 
Pamoja na kwamba mimi siyo shabiki wa chadema tangu niondoke huko, nakubaliana na wewe kwa mbowe kuondoka na kupisha mtu mwingine. Lakini sikubaliani na pendekezo lako la kutaka amwachie lisu uenyekiti. Kumwachia lisu ni kutaka kukiua chama. Lisu hawezi kuongoza taasisi kama chama, anaweza kuongoza genge la wahuni wahuni tu wavuta bangi ambao wanaweza kufuata misimamo yake ya kichizi bila kushughulisha mbongo zao. Akiwaambia kwenda barabarani wanaenda tu bila kuhesabu gharama wala consequences.
Kama Magufuli aliweza kuwa mwenyekiti na rais wa Tanzania, hakuna chochote Lisu atashindwa. Tofauti ya Magufuli na Lisu ni kuwa mmoja Yuko jehanamu, na mwingine Bado Yuko hai duniani. Lakini kitabia wako sawa kabisa. Sema unajua kwa misimamo mikali ya Lisu ni rahisi kuingiza nchi hii kwenye machafuko maana Hana Tabia za kikondoo, Wala busara za kujipendekeza.
 
Sema unajua kwa misimamo mikali ya Lisu ni rahisi kuingiza nchi hii kwenye machafuko maana Hana Tabia za kikondoo, Wala busara za kujipendekeza.
Ndiyo maana nikasema anaweza kuongoza genge la wahuni wahuni tu wavuta bangi, siyo chama cha siasa chenye malengo ya kuunda serikali siku moja.
Ni kufuru kumlinganisha visionary leader kama Magufuli na lisu.
 
Binafsi naona Mbowe angeachia kijiti cha uenyekiti wa Chama ampe Lissu au Heche John

Nasema haya kwasababu Chadema kwa sasa na upinzani unahitaji mtu mwenye maamuzi magumu, misimamo mikali na ambaye hajapoa sana

Simchukii Mbowe hata kidogo wala siangalii ukabila wala dini, ingekua natizama hayo basi ningemfavor mbowe kwasababu labda tunatoka kijiji kimoja. Mimi sio mkabila kama mwendazake au mdini kama Gwajima.

Nachotazama ni utendaji, sasahiv upinzani wanahitaji apatikane mtu mwenye misimamo mikali sana sio mtu mpole mpole kama Mbowe.

Chama kinahitaji watu kama Lissu au wengineo ndo waongoze Chama sio Mbowe

Mbowe sasa imetosha!! Mkabidhi mtu mwingine kijiti sasa!
Kina Pascal Mayalla wanasema siasa za confrontational politics zimewaumiza zaidi Chadema kuliko kuwasaidia kwani dola ilitumia mwanya huo kuwakandamiza.

Hivyo 'radical elements' kama kina Heche wataipata Chadema wakati mgumu kutoka vyombo vya dola, bora kina Mbowe anagalu wanaumwa ila Kuna mida wanapulizwa na kupakwa spirit.

JokaKuu zitto junior Kalamu brazaj
 
Ndiyo maana nikasema anaweza kuongoza genge la wahuni wahuni tu wavuta bangi, siyo chama cha siasa chenye malengo ya kuunda serikali siku moja.
Ni kufuru kumlinganisha visionary leader kama Magufuli na lisu.
Mahaba niue.
 
Back
Top Bottom