samsung

  1. Hussein J Mahenga

    JamiiForums Tanzania Kuweka android version 12 kwenye samsung S9; Inawezekanaje?

    Naomba kufahamu kama naweza kuweka android version 12 kwenye Samsung S9. Ahsanteni.
  2. Chura

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kioo(LCD) cha Samsung S20 ultra na S10 Plus

    Kichwa cha habari chajieleza, Wakubwa nahitaji kioo cha s10 plus na s20 ultra zote Samsung, kwa Dar au Mwanza vinapatikana wapi? Asante
  3. aise

    JamiiForums Tanzania Msaada Simu yangu ya samsung imejiweka kialama cha funguo

    Wataalamu wa mambo simu yangu Samsung imejiweka kialama cha funguo kwa juu huku upande wa inapoonyesha betri. Siwezi kushusha skrini ili niwashe data, torchi etc. Wataalamu wa mambo msaada wa kukiondoa hiki kifunguo.
  4. Waibi fredy

    JamiiForums Tanzania Nauza Samsung A72 inauzwa

    SAMSUNG A72 📱 Storage 128 GB|8GB ⚙️ Dual sim ✅ Battery 5000mAh Display 6.7” Black ⚫️ Tsh 850,000/= From Muscat Oman Inamiezi 6 tu . Haiba shida yoyote 0715160365 📞
  5. TURTEKING

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung J7star

    Samsung J7 star GB32 RAM 2 GB SINGLE LAIN 180000 TEGETA KWA NDEVU 0783231177
  6. mbinda_smartphones

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  7. W

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy M31 for sale

    Samsung galaxy M31 Storage: 128GB Ram: 6GB Camera kali mno: 64 megapixel main, 32 megapixel front Battery: 6000mAh (inakaa na charge mpaka inakera) Coluor: Dark Blue Condition: Excelent/Almost New Bei: 350,000/= fixed Location: Mwanza Ilemela Ni ya kwangu mwenyewe ninaitumia, haina magumashi...
  8. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Samsung One UI ni Version bora kabisa ya Android kuliko versions zozote za Android

    Kama unatumia Samsung siku ukishika simu nyingine za Android unatamani urudi Samsung mapema sana. Nimetumia Oxygen OS ya One Plus, Color OS ya Oppo, MIUI ya Xiaomi na nyinginezo lakini hakuna inayoifikia One UI ya Samsung kwa utamu wa mpangilio wa apps, fluidility, visual impressiveness nk...
  9. Last sentinel

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung galaxy A10 for sale

    Nauza samsung galaxy A10, 32GB internal storage na RAM 2 GB bei 200,000/-Price is negotiable Contacts: 0759-124378
  10. TECNO Tanzania

    JamiiForums Tanzania TECNO yatangaza teknolojia mpya ya RGBW camera sensor + glass ambayo imetengenezwa kwa ushirikiano na Samsung kwenye mfululizo wake wa CAMON 19

    Barcelona, Uhispania, Februari 28, 2022 - Wakati wa toleo la hivi karibuni zaidi la Kongamano la Dunia la Simu (MWC 2022), moja ya matukio makuu katika ulimwengu wa teknolojia ya simu, TECNO Mobile, mtengenezaji wa simu za kisasa wa hali ya juu kabisa tulitangaza kuwa teknolojia ya kichujio cha...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa bei ya Samsung S20 ultra 128GB Dual Sim

    Wadau nipo njia panda kidogo Hivi Samsung S20 Ultra 128GB dual sim mpya inapatikana madukan kwa sasa hapa DSM na bei yake ipoje maana madealers wengi wakkoo wanadai hamna mpya na wanasisitiza nichukue refurb. Je hizo refurb zina usalama na uhakika kweli? Na bei zake zipoje
  12. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A10 kwa 170,000. Ubungo Dar

    Bei hio 170,000, namba 0713096076 samsung galaxy A10 ipo ubungo external piga simu chap
  13. Mnyuke Jr

    JamiiForums Tanzania Samsung S9 inahitajika haraka sana

    Offer yangu ni 280,000/= Chapu kwa haraka njoo tufanye biashara
  14. Msololi53

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza Simu Samsung S8 Plus

    Baada ya kuona wadau (USAWA) hela imekuwa ngumu, nimeshusha kwa kiwango cha rami mpaka 250K Karibuni
  15. R

    JamiiForums Tanzania Tupeane offer nzuri za simu kipindi hiki cha sikukuu (Samsung Only)

    HABAR WADAU Mambo ni mengi mda ni mchache ni ngumu kwa binadamu mmoja kupata taarifa zote so usishangae kuna offer tamu sana yenye discount ya kutisha ikakupitia hvhv ndio mana nimefungua uzi huu ili wadau tupeane habar simu gan kali zina discount nzuri za samsung kipind hiki cha sikukuu...
  16. T

    JamiiForums Tanzania Samsung Galaxy S22 Ultra inasemekana kuja kua na picha nzuri kuliko S21 Ultra

    GsmArena wamasema wamepata taarifa kwamba kampuni ya Samsung inayotarajiwa kuachia simu yake ya mwaka ama Flagship Phone ya S22 Ultra ambayo inatarajiwa kua na picha kali zaidi kuliko S21 Ultra ya mwaka huu. Binafsi nasubiri S22 Ultra ikiwa kweli ina picha kali nafanya trade off faster na hii...
  17. MKANDAHARI

    JamiiForums Tanzania SAMSUNG PHONE

    Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
  18. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Simu 2 zinauzwa Brand Samsung: A10s na A30

    zote ziko vyema sana. A10s hii hapa ram 2 rom 32 bei 170,00 at kigamboni, Dar es Salaam
  19. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung A10s 4sale at Matumbi Dar es Salaam

    NAUZA SIMU samsung A10s, used like one year GB32 RAM 3 4G speed 165,000 Ipo Dar matumbi. 0713 096 076... piga simu punguza comments
  20. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Tv samsung 32" kwa 300,000

    Samsung 32"Led TV.. iko kijichi Dar. BEI YAKE 300000 0713096076
Back
Top Bottom