samsung

  1. J

    JamiiForums Tanzania Samsung note 4 firmwale

    Members msaada, nahitaj kuapdate mannual samsung note 4 ifike android 6, kwenye web ya samsung ukitaka kidownload wanataka uchague nchi ila tanzania haipo, nichague nchi ipo hapo au yoyote tu maana kwa africa naons south africa (vodafone)
  2. R

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Samsung Smart TV inch 40 bei laki 550

    TV inapatikana Sinza Sweet Corner. Ni samsung inch 40 smart. Haina shida yoyote ile.
  3. Shiningraytz

    JamiiForums Tanzania Display ya Samsung A30 Original

    Nina kioo cha Samsung A30 original, simu ilizima ikiwa na mwezi mmoja tu. Hakina mikwaruzo Nahitaji mashine, ila kama una mashine unahitaji kioo nicheki 0622009372 . Location: Songwe Mbozi
  4. W

    JamiiForums Tanzania Natafuta kioo cha samsung A70

    Husika na kichwa hapo juu mwenye nacho anicheck kwa no 0678288666 hii kiwe used au kipya kwa bei za kitanzania.
  5. rikiboy

    JamiiForums Tanzania Samsung 12 ni kiboko

    Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana... Storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe...
  6. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Samsung yaipiku Apple kwa mauzo ya simu robo ya kwanza ya mwaka

    Uamuzi wa kampuni ya simu ya Samsung kushusha bei ya simu zake aina ya Galaxy S21 unaonekana kuipa faida kampuni hiyo baada ya kumpiku mpinzani wake wa karibu, Apple katika mauzo ya simu duniani kwa robo ya kwanza ya mwaka huu. Kampuni hiyo ya Korea Kusini imeonekana kufanya vizuri katika mauzo...
  7. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mwenye Samsung note 10 kwa laki Saba

    Wakuu Niko dar es Salaam, Naitaji Samsung note 10 Bajet ni sh laki saba cash Simu iwe kwenye hali mzuri no michubuko kabisa, Mwenye nayo ani dm
  8. oxlade

    JamiiForums Tanzania Samsung A 02S Vs samsung A 12 Ipi ninunue?

    Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k
  9. Shadow7

    JamiiForums Tanzania TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

    Utafiti wa soko la teknolojia, uliofanywa na Kampuni ya utafiti ulimwenguni inayojishughulisha na bidhaa katika tasnia ya teknolojia ya vyombo vya habari na mawasiliano ya simu. Mwishoni mwa mwezi wa nne wametoa report ikionyesha kuwa kampuni ya simu TECNO imechukua nafasi ya kwanza kama simu...
  10. Prince Nadheem

    JamiiForums Tanzania Kwanini Samsung wameanza kukomaa na processor za Mediatek?

    Habari za leo wajamvi? Kama heading invyosema hapo juu. kwa sasa Samsung mobile phones zinaonekana kutoa mid range budget phones kwa kasi sana kila leo ili kuendana na makampuni ya simu ya kichina. Kwa upande wa makampuni ya simu ya kichina nao wameonekana kuja juu kwa kuweka specifications...
  11. hp4510

    JamiiForums Tanzania Naitaji Samsung note 10

    Naitaji Samsung Note 10 yenye hali mzuri no michubuko, ambayo imetunzwa vizuri. Bajet yangu ni laki sita na nusu. Niko Dar es Salaam. Mwenye nayo tafadhali npm tufanye biashara.
  12. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

    Habari nimeona ni share na nyinyi hii, Katika ushindani wa soko la simu kampuni nyingi za simu zimejikuta zikitoa simu zenye kushabihiana sifa. Kwa leo tuliangalizie kwa ndani simu aina ya Infnix Hot 10 Play na Samsung Galaxy A02s.na mwisho wa makali hii nadhani tutakuwa tumepata kufahamu ipi...
  13. wakutafuta

    JamiiForums Tanzania Msaada manunuzi ya Lcd Ya Samsung J7 Pro kwenye site ya Aliexpress.

    Natakaa kuagiza LCD hii hapa US $25.88 30% OFF|5.5 ni mara yangu ya kwanza kufanya manunuzi kwenye mtandao huu pia kama kuna option naweza kupata kwa hapa Tanzania kwa bei nafuu na nikizuri mnisaidie.
  14. Okwaaa

    JamiiForums Tanzania Samsung A10s

    Simu Samsung A10s inauzwa. 1 Dual camera- 13MP +2MP dual rear camera na 8MP front camera 2 finger scan- well functioning 3 warranty- 2years but used 3 months mpaka sasa 4 Octa core processor 5 Network-4G LTE 6 32GB memory and 2GB RAM 7 BATTERY. Inavumilia sana chaji siku...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy A10s inauzwa

    Habari zenu wadau, nauza simu yangu ya samsung A10s kwa bei ya 210k napatikana Mbagala Dar es Salaam iko poa kwa kila kipengele
  16. Kisoda James

    JamiiForums Tanzania Nina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32, nipo Pugu Dar

    Nina 300,000 nataka TV Samsung inchi 32 nipo Pugu Dar
  17. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vitu vya ndani, Sony Hi-Fi music, Samsung TV bei ya January

    Sony MHC-RG310 bei yake 350,000 Samsung TV nchi 32 bei 350,000 Kitanda cha chuma na godoro lake 400,000 godoro nchi 8 Vyote tuchekiane 0685008131
  18. C

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna toleo la Samsung S7 lenye storage ya 128 GB?

    Wakuu, Kuna tangazo nimeona huko FB, kuna simu inauzwa ni Samsung S7 lakini storage ni 128 GB Asa nauliza hivi kuna Samsung S7 ya aina hiyo?
  19. R

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuroot samsung A2 core

    Habar wadau Nisiwachoshe nina samsung a2 core ipo poa ina android 8.1 sasa kuna vitu inaniboa mfano haina dark mode wala galaxy theme ivo nakuwa sina uhuru sn pia haina LTE only feature so nataka niroot kisha ni update iwe android 10 niweEaeti dark mode na kuchagua theme itayopenda kwenye...
  20. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Vioo vya Samsung kuanzia S6 Edge ni vya hovyo sana

    Pomoja na Tech nzuri ya Super Amoled, vyenye mwanga mng'aavu, Vioo vya hizi simu ni mtihani sana kwa watumiaji. Yaani kuanzia toleo hilo na kuendelea vioo vinaweka mistari bila sababu ya msingi kama TCL. vipo so delicate, weka liquid protector ongezana Glasi protector lazima vikutafutie sababu...
Back
Top Bottom